Matumizi na Faida za Asali katika afya ya binadamu


Mfano mwingine wachimbaji wadogo kugundua kuwa sehemu fulani kuna madini hawahitaji kufuata njia za utafiti ambazo wasomi huzifuata ili kugundua uwepo wa madini mahali fulani.
 
baada ya kusoma hii thread tu,,nimepiga vijiko vi 3,,nasubilia asubuhi tenaaaaaaaaaaa
 
Kama vile nilijua maana niko kwenye dose week ya pili, nilikuwa kweny majaribio ya siku 30 ili nilete matokeo ya research hapa! Shukrani sana mkuu kesho naanza kutumia lita ya 3
 

umesahau masharti mkuu dry
wasinywe ucku ukiwa umetoka tembea na kimada utaarisha mpaka na utaACHA ONA Rangi

nyuki na ufuska vitu viwili tofauti

UAMINI JARBU UONE IWE WAKUBWA WADOGO !BIKIRA C BIKIRA

NOSHAAA
 
Aaaahhh umenichekesha sana jombi,.kwa mfano wako hapo juu jibu ni utakuwa umeokota jiwe lakin kugundua kama ni la thamani hapo utafiti/steps ndo unafata/zinafata..unatakiwa ulipeleke kwa wataaalamu wakuthibitishie hilo jiwe ni la thamani kwa kuanalyze na kukompare na majiwe mengine ya thamani then ndo watakuwambia hilo jiwe la madini ni la thamani ama la au limegunduliwa ama halijagunduliwa somewhere else. kama ni jipya na la thamani then hilo jiwe wanaweza hata kuliita kwa jina lako..kukuacknowledge..lakin jombi hapa usilete ligi mi nilikuwa na nia nzuri tu ya kutaka kujua Mzizimkavu amefanyajefanyaje hadi akagundua na inakubalika tu Duniani kwa ma researchers kuulizana coz Dunia sshv ni kijiji na kushare knowledge ni kitu cha kheri na si uchawi..Juma pili njema.:israel::israel:
 

Tutapona wengi humu
 
Mzizimkavu umesema asali ya nyuki wakubwa( je ya nyuki wadogo haitaleta matokeo hayo uliyosema?) Sasa ngoma kuipata hiyo ambayo haijashugulishwa...(haijachakachuliwa)
 
Dr wangu MziziMkavu usiye na uchoyo wa maarifa Mungu akujalie Baraka. Endelea kula asali ili uimarishe afya, kumbukumbu na uishi miaka mingi uendelee kuelimisha na vizazi vijavyo. Ninaomba kufahamu kuwa na asali ya nyuki wadogo (wasiouma) inatumiwaje? Maana hapa umeelezea zaidi asali ya nyuki wakubwa (wanaouma)
 
Nhpo huku katavi nimekabidhiwa lita 5 zipo getho. Yaani naweka kwenye wali,kande,juisi,chai. Nikichoma mahindi ipo pembeni. Najipaka hadi usoni lakini haiishi tu!!. Mchana huu nimekula na karanga. Yaani natamani hadi ugali nile na hii asali!!

Ha haaaaa somo lomekoleaaa
 
tunashukuru sana kwa elimu hii ya tiba mbadala,mimi natoa ushuhuda nimemtibu mama 1 na binti 1 vidonda vya tumbo kwa kutumia asali na mdalasini wa unga,una weka kwenye maji ya uvuguvugu unakunywa asubuhi mchana na usiku,unapona kabisa,elimu hii ya tiba mbadala inabidi itolewe kila wakati.
ubarikiwe mzizimkavu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…