Matumizi na Faida za Asali katika afya ya binadamu

Matumizi na Faida za Asali katika afya ya binadamu

Jombi ckusomi vizuri kila kitu lazima kiwe na steps hata mtoto kutembea lazima kuwe na steps anaanza kutambaa, kusimama halaf anatembea sasa sembuse utafiti...halafu uwe unatoa mifano kukazia mada c o unasema tu hesabu za leo wamemodify kuliko zamani bila mifano mi naona kama porojo...

Mfano mwingine wachimbaji wadogo kugundua kuwa sehemu fulani kuna madini hawahitaji kufuata njia za utafiti ambazo wasomi huzifuata ili kugundua uwepo wa madini mahali fulani.
 
Kama vile nilijua maana niko kwenye dose week ya pili, nilikuwa kweny majaribio ya siku 30 ili nilete matokeo ya research hapa! Shukrani sana mkuu kesho naanza kutumia lita ya 3
 
asali kama tujuavyo ni dawa nzuri kwa binadamu haswa utakapo tumia ukiwa mzima au mgonjwa itakusaidia kukutibu na M

haina madhara kwa binadamu. Nimegunduwa ugunduzi wangu juu ya faida ya asali kwa binadamu nimeona bora na mimi niwape

wenzangu faida katika uchunguzi wangu. Nimegunduwa ikiwa utatumia asali kuinywa asubuhi kabla ya kula au kunywa

kitu kijiko kimoja na wakati wa usiku wa kwenda kulala ukila hiyo asali tena kijiko kimoja kwa muda wa siku 40 itakusaidia

kukutibu na kusafisha ini na figo uchafu ulikuwepo ndani yake. Kwa hiyo ninawapeni ushauri wangu muwe munatumia asali

ya nyuki kila siku kwa huo muda mutafaidika na huo uchunguzi wangu asanteni. Masharti ya asali ni hivi iwe asali ya

nyuki wakubwa tena iwe asali mbichi haijaipikwa wala kuchanganywa na kitu chochote kile. Fanyeni kazi utafiti wangu

muje munipe feedback asanteni sana.


attachment.php
attachment.php
attachment.php

umesahau masharti mkuu dry
wasinywe ucku ukiwa umetoka tembea na kimada utaarisha mpaka na utaACHA ONA Rangi

nyuki na ufuska vitu viwili tofauti

UAMINI JARBU UONE IWE WAKUBWA WADOGO !BIKIRA C BIKIRA

NOSHAAA
 
Hivi unadhani kila kitu kinagunduliwa kwa steps, nishakwambia labda ugunduzi wako ufanyikie maabara lakini kama ni kwingine huwa hakuna steps. Mfano leo hii ukawa unatembea ukaokota jiwe lenye madini mabayo hayajawahi kugunduliwa duniani, utauta ugunduzi wako ulikuwa wa kufuata steps?
Aaaahhh umenichekesha sana jombi,.kwa mfano wako hapo juu jibu ni utakuwa umeokota jiwe lakin kugundua kama ni la thamani hapo utafiti/steps ndo unafata/zinafata..unatakiwa ulipeleke kwa wataaalamu wakuthibitishie hilo jiwe ni la thamani kwa kuanalyze na kukompare na majiwe mengine ya thamani then ndo watakuwambia hilo jiwe la madini ni la thamani ama la au limegunduliwa ama halijagunduliwa somewhere else. kama ni jipya na la thamani then hilo jiwe wanaweza hata kuliita kwa jina lako..kukuacknowledge..lakin jombi hapa usilete ligi mi nilikuwa na nia nzuri tu ya kutaka kujua Mzizimkavu amefanyajefanyaje hadi akagundua na inakubalika tu Duniani kwa ma researchers kuulizana coz Dunia sshv ni kijiji na kushare knowledge ni kitu cha kheri na si uchawi..Juma pili njema.:israel::israel:
 
Nimefanya utafiti kwangu mimi mwenyewe ndio nikagunduwa huo ungunduzi wangu kuwa asali inao uwezi wa kusafisha Ini na Figo ukiitumia siku 40 Mfululizo na pia itakuwezesha wewe Mwanamme Dushelele (Penis) lako kusimama kila wakati unapo taka kulitumia kimapenzi kazi kwenu.

Tutapona wengi humu
 
Mzizimkavu umesema asali ya nyuki wakubwa( je ya nyuki wadogo haitaleta matokeo hayo uliyosema?) Sasa ngoma kuipata hiyo ambayo haijashugulishwa...(haijachakachuliwa)
 
Dr wangu MziziMkavu usiye na uchoyo wa maarifa Mungu akujalie Baraka. Endelea kula asali ili uimarishe afya, kumbukumbu na uishi miaka mingi uendelee kuelimisha na vizazi vijavyo. Ninaomba kufahamu kuwa na asali ya nyuki wadogo (wasiouma) inatumiwaje? Maana hapa umeelezea zaidi asali ya nyuki wakubwa (wanaouma)
 
Nhpo huku katavi nimekabidhiwa lita 5 zipo getho. Yaani naweka kwenye wali,kande,juisi,chai. Nikichoma mahindi ipo pembeni. Najipaka hadi usoni lakini haiishi tu!!. Mchana huu nimekula na karanga. Yaani natamani hadi ugali nile na hii asali!!

Ha haaaaa somo lomekoleaaa
 
tunashukuru sana kwa elimu hii ya tiba mbadala,mimi natoa ushuhuda nimemtibu mama 1 na binti 1 vidonda vya tumbo kwa kutumia asali na mdalasini wa unga,una weka kwenye maji ya uvuguvugu unakunywa asubuhi mchana na usiku,unapona kabisa,elimu hii ya tiba mbadala inabidi itolewe kila wakati.
ubarikiwe mzizimkavu
 
Back
Top Bottom