Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mji wa Egypt?
Zamani waarabu walitumia Nchi zao kama majina ya mji sio Nchi upo na mimi .Mji wa Egypt?
MziziMkavu, ungetoa na dosage kabisa: kutwa mara ngapi na kwa kiwango kipi mkuu? maana sisi wenye matatizo ya nguvu za kiume tusije tukaanza kuibugia kwa fujo na ikaleta madhara badala ya kutuponya:lol:[/QUOTESexual Debility, Asali huzidisha hamu na huzidisha mbegu za kiume yaani sperm, asali inaaminika ni kmama magical yaani dawa ya maajabu huzidisha uzazi kwa mwanammke na huzidisha hamu kwa mwanamme (kwa wenye wake inawafaa hii) Hurudisha nguvu za kiume.
Matumizi yake unatumia kila siku kijiko kimoja cha kulia wali asubuhi kabla ya kula kitu na usiku baada ya kwisha kula pia ukitumia hivyo itakusaidia kusafisha ini na figo na kukupa nguvu ya kiume.
Sexual Debility, Asali huzidisha hamu na huzidisha mbegu za kiume yaani sperm, asali inaaminika ni kmama magical yaani dawa ya maajabu huzidisha uzazi kwa mwanammke na huzidisha hamu kwa mwanamme (kwa wenye wake inawafaa hii) Hurudisha nguvu za kiume.MziziMkavu, ungetoa na dosage kabisa: kutwa mara ngapi na kwa kiwango kipi mkuu? maana sisi wenye matatizo ya nguvu za kiume tusije tukaanza kuibugia kwa fujo na ikaleta madhara badala ya kutuponya:lol:
Matumizi yake unatumia kila siku kijiko kimoja cha kulia wali asubuhi kabla ya kula kitu na usiku baada ya kwisha kula pia ukitumia hivyo itakusaidia kusafisha ini na figo na kukupa nguvu ya kiume.
Ni kweli lakini ukitaka Asali safi mbichi itabidi utoke nje ya Jiji la Dares-Salaam uende vijijini ndipo utapata Asali safi lakini sio hapo jijini utauziwa Asali Feki.Ni kweli hata mimi asali mbichi ilifagia kikohozi kilichoshindikana kwa vidonge vya ampiciline. Nilitumia vijiko viwili vikubwa kutwa mara tatu baada ya siku tatu kikohozi kwa heri wala kifua hakikubana tena,ila sharti la kutokunywa vitu vya baridi lilikuwepo. kwa watoto ndo kabisaa! Vijiko viwili kutwa mara mbili hawakoi tena.
TATIZO:
Upatikanaji wa asali iliyo ghafi(asali mbichi 'pure') umekuwa na utata hasa kwenye majiji kama Dar es salaam kwa asilimia kubwa asali imechakachuliwa yaani imechemshwa na kuongezwa maji au kuongezwa sukari guru hivyo kupunguza au kuondoa kabisa uwezo asilia wa asali. hili mzizimkavu unalionaje?
Ni kweli hata mimi asali mbichi ilifagia kikohozi kilichoshindikana kwa vidonge vya ampiciline. Nilitumia vijiko viwili vikubwa kutwa mara tatu baada ya siku tatu kikohozi kwa heri wala kifua hakikubana tena,ila sharti la kutokunywa vitu vya baridi lilikuwepo. kwa watoto ndo kabisaa! Vijiko viwili kutwa mara mbili hawakoi tena.
TATIZO:
Upatikanaji wa asali iliyo ghafi(asali mbichi 'pure') umekuwa na utata hasa kwenye majiji kama Dar es salaam kwa asilimia kubwa asali imechakachuliwa yaani imechemshwa na kuongezwa maji au kuongezwa sukari guru hivyo kupunguza au kuondoa kabisa uwezo asilia wa asali. hili mzizimkavu unalionaje?
Asali kwa Mwanamke mwenye mimba changa haifai mpaka mimba iwe kubwa kiasi cha miezi 5 na kuendelea anaweza kutumia hiyo Asali. Asali ina joto kali sana kiasi cha kuharibu hiyo mimba changa na Kumtoa huyo mwanamke Damu ya Hedhi asitumie tena Mtu Mwenye mimba ya ( wiki 1- wiki 12) baada ya hizo wiki 12 yaani kuanzia mwezi wa 5 na kuendelea anaweza kutumia hiyo asali. Angalia kwa chini faida ya Asali.Wanajamvi naomba ushauri wenu asali mbichi ambayo haijachanganywa iwe ya nyuki wadogo ama wakumbwa inamadhara gani kwa wanawake wajawazito wenye mimba changa ( wiki 1- wiki 12) kwani nina rafiki yangu wa karibu mkewe alikuwa mjamzito hana tatizo lolote akalamba asali ya nyuki wadogo mbichi isiyochanganywa hakumaliza masaa 12 ujauzito wake ukatoka na alikuwa na mimba ya wiki 7.
mamamkwe wake yaani mama wa mkewe akamwambia kuwa asali huwa inaharibu sana mimba hivyo hakupaswa kumpa mkewe asali kwani ndio chanzo cha mimba kuharibika, na walipokwenda kwa daktari wa kina mama alipomchunguza hawakuona tatizo lolote lilo sababisha mimba kutoka kwani mama hakuwa akisumbuliwa na kitu chochote kile.
naomba kujua kama kuna mtu hhumu jamvini anaweza kunifafanulia kama ni kweli asali inaharibu mimba zikiwa changa!!
nawakalisha
You are what you eat!