Matumizi sahihi ya Dabo indiketa, gia L,2,3 na O/D katika gari za Automatic

Hakuna kitu kwenye gari kinaitwa 'dabo indiketa', nafikiri ulimaanisha HAZARD LIGHT, but YES, they are for emergency as the name describes. Waendesha magari wasio madereva huwasha kwenye njia panda wakidhani ni kiashiria cha kwenda moja kwa moja.
Wengi sana ambao hawajapita darasani au ambao hawakufanya jitihada kujifunza hudhani ni za kuonesha kuwa unaenda moja kwa moja kwenye njia panda
 
n
Asante kwa somo zuri... hasa kwenye matumizi ya 2,3 na L... be blessed!!!




Fuatilia nyuzi kuna sehemu nimefafanua ila si kosa japo inaweza kusababisha ajari


alfredmkohiatgmaildotcom

Be blessed kaka

Hakuna kitu kwenye gari kinaitwa 'dabo indiketa', nafikiri ulimaanisha HAZARD LIGHT, but YES, they are for emergency as the name describes. Waendesha magari wasio madereva huwasha kwenye njia panda wakidhani ni kiashiria cha kwenda moja kwa moja.

Poa mkubwa, nimeelewa.

Asante kwa kuniulizia swali hilo. Ila mimi huwa sibonyezi hicho kitufe hivyo huwa hiyo taa haiwaki. Sijui kama huwa niko sahihi au la!


Wakina yakhee kama sisi tusiojua kuendesha kazi tunayo


Mkifata ushauri huu uhai wa gearbox zenu utakuwa mdogo sana.


Sema inafaa kwa barabara ambayo hamna kusimama simama au kona kali..

Umenena vizuri, nadhani watanzania tuzidi kumuomba Mungu atuondolee hii roho ya kukosoa kosoa hata pasipositahiri ili muradi tu ukosoe, ni vizuri kusahihisha na kusaidiana


Hutakiwi kuwasha chochote, Hazard huwashwa unapokuwa na dharula tu hasa main road



Hapo unakosea. Inatakiwa kile kitaa cha o/d kizimike...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…