Siyabonga101
JF-Expert Member
- Mar 8, 2016
- 2,424
- 2,300
Imenikumbusha miaka ya nyuma (1994) nilikuwa maeneo ya Kinondoni karibu na Mahakama (ilipo Tumaini Univ kwa sasa). Ilikuwa mida ya saa 12 jioni...muda rasmi wa kushusha bendera ya Taifa.
Ikapigwa filimbi tukasimama (tuliokuwa karibu na eneo la bendera). Kuna jamaa mmoja sijui ni kutokujua taratibu au makusudi/haraka yeye aliendelea kutembea.
Kilichotokea hapo sitakisahau na mpaka leo hii kilinifanya niithamini na kuiheshimu Bendera ya Taifa.
Mungu Ibariki Tanzania.
Ikapigwa filimbi tukasimama (tuliokuwa karibu na eneo la bendera). Kuna jamaa mmoja sijui ni kutokujua taratibu au makusudi/haraka yeye aliendelea kutembea.
Kilichotokea hapo sitakisahau na mpaka leo hii kilinifanya niithamini na kuiheshimu Bendera ya Taifa.
Mungu Ibariki Tanzania.