Mkogoti
TAPELI Mkubwa
- May 3, 2020
- 2,415
- 3,924
ok. NimekupataHiyo sio mali binafsi kwahiyo huwezi kuimiliki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ok. NimekupataHiyo sio mali binafsi kwahiyo huwezi kuimiliki
Wewe ni mfuasi wa Mataga?Natumaini wazima wa hali.
Jambo lenyewe ndo hilo nalotaka kulifanya sio kwamba nimekosa kazi ya kufanya hapana, ni maamuzi yangu binafsi.
Nataka niweke iwe inapepea nje? Jinsi gani? Nakupenda Nchi ya Yangu Tanzania, Msaada nifate vigezo gani?
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji122]Paka nyumba yako rangi za bendera ya taifa hakuna atakae kusumbua
Ukiwa CCM unaruhusiwa kuweka ata chooni mkuuNatumaini wazima wa hali.
Jambo lenyewe ndo hilo nalotaka kulifanya sio kwamba nimekosa kazi ya kufanya hapana, ni maamuzi yangu binafsi.
Nataka niweke iwe inapepea nje? Jinsi gani? Nakupenda Nchi ya Yangu Tanzania, Msaada nifate vigezo gani?
Nimemaanisha watu Kama wewe ndo wazuri..mnapenda kujaribu karibu mamboKwanini Mkuu mimi nimeuliza tu yasije kuwa mengine
Hapana mkuuNimemaanisha watu Kama wewe ndo wazuri..mnapenda kujaribu karibu mambo
Mkuu simaniishi kwamba ninayo hapana utaratibu upojeHairuhusiwi hiyo ni mali ya serikali.
Umeipata wapi hiyo Bendera? maana kuining'iniza tu kwenye gari au pikipiki ni Kosa, Sembuse kwenye gheto lako!
Na wakati wa kuifunga juu ya mti au mlingoti ni lazima watu wanaokuona wawe wamesimama kwa adabu hadi ukimaliza kuitundika, na kuishusha ni hivyhivyo.
Nop hapana kabisa mimi ni Roman Catholic church Chama changu hichoWewe ni mfuasi wa Mataga?
Nimeuliza tu utaratibu upojeNimemaanisha watu Kama wewe ndo wazuri..mnapenda kujaribu karibu mambo
Sawa sawa shukraniUsije ukafanya hivyo utaumizwa bure.
Karibu.
Kama wewe ni mfuasi wa yule yesu mpya wa Chato unaruhusiwa kuweka.Nop hapana kabisa mimi ni Roman Catholic church Chama changu hicho
Hapana mi ni Mfuasi wa Yesu kristo Mwana wa MUNGUKama wewe ni mfuasi wa yule yesu mpya wa Chato unaruhusiwa kuweka.