latifu mohamed
Member
- May 1, 2017
- 20
- 16
- Thread starter
-
- #21
sipingi tunataka sheria ambayo itataja maeneo ambayo hizo camera zinatakiwa kufungwa siyo kila mtu anafunga anavyo jisikia.Utakuja kupinga hata Camera za mtaani ni maendeleo hayo na kuwa na ulinzi kwa mfumo wa kisasa nimedokezwa pia ndege nyingi zimefungwa Camera kwenye vyoo ila abiria hawezi kuiona hiyo inatoka na mambo ya Ugaidi kuenea kwa kasi...
Eneo la biahara langu, nina jukumu la kuweka ulinzi wa aina yoyote.
Serikali ipunguze kodi au ifute kodi kwenye uagizaji sawa hakuna sheria iliyo tungwa mfano kusema ukifunga camera kwenye duka lako mwisho lazima hiwe mita kama tano hivi hakuna.
usiamini sana ukienda maeneo hayo unaweza kukuta wanafanya hivyo maana hakuna sheria ya kuweka mipaka ya kutumia hizo camera.Unamaana kumbe wanaweza kuwa Wana turecod tunavyofanyana mapenzi
ndiyonadhani faragha siyo kufanya mapenzi tu.
watenda maovu mna shida. Kwani hizo taarifa zikihifadhiwa kuna shida gani.sawa zimefungwa kwenye coridor unajua baada ya hizo kurekodiwa hakuna mtu anayejua hizo taarifa zinapelekwa wapi na zinahifadhiwa kwa mda gani Tunataka sheria ambayo itatupa muongozo.
siyo kuzichukia tunacho shawishi ni kuwepo na sheria ambayo itaweza kulinda hazi za pande zote mbili.Mabazazi na vibaka lazima mzichukie Sisi tivii kamera
nadhani faragha siyo kufanya mapenzi tu.
weka pendekezo unataka sheria iseme ninisiyo kuzichukia tunacho shawishi ni kuwepo na sheria ambayo itaweza kulinda hazi za pande zote mbili.
Kama sio sheria lakini kanuni ipo nayo ni kuweka tangazo la kuonyesha kuwa eneo hilo lipo chini ya uangalizi wa CCTV camera.Bank wanaogopa wezi lakini bado wameweka matangazo hayo ambapo kwa akili ya kawaida unaweza waza "kwa nini wamstue mwizi?"Kumeibuka tabia ya kila mtu anafunga CCTV camera kwenye maeneo ya biashara au nyumba ya kuisha mfano mtu anafunga CCTV camera kwenye eneo la baa au nyumba ya kulala wageni na Hakuna sheria au muongozo ambao umewekwa na serikali kusimamia matumizi ya hizo camera mwisho siku unakuta haki za binadumu (haki ya faragha) inafunjwa kwani serikali imeshindwa kutunga sheria ambayo itaweza kutoa muongozo wa matumizi ya CCTV camera. Matokeo yake CCTV camera zinafungwa kwenye maeneo ambayo siyo sahii kufungwa.
kuna umuhimu wa kutunga sheria kuweka utaratibu kuakikisha kukua kwa TEHAMA hakufunji haki ya faragha kama ilivyotamkwa na Ibara 16 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977.
m'bongo mpe picha tu maelezo atatoa yeye,๐๐๐Ukifika nyumba za wageni shusha mapazia zima taa ili pawe gizaa kabisa afu washa camera ya simu bila flash light anza kuzunguka chumba kama una shoot video kama kuna kamera imewekwa itaonekana kwa mbali kama mwale mwekundu kwenye kioo cha simu yako๐
Huko kwenye cctv huwa yanafanyika matusi tu wala sio mapenziUnamaana kumbe wanaweza kuwa Wana turecod tunavyofanyana mapenzi
Pasipo na sheria hapana kosa, kwahiyo kwakuwa hakuna sheria wapo sahihi kufunga hizo cameraMatokeo yake CCTV camera zinafungwa kwenye maeneo ambayo siyo sahii kufungwa.
Labda ndiyo ile ya PMsawa zimefungwa kwenye coridor unajua baada ya hizo kurekodiwa hakuna mtu anayejua hizo taarifa zinapelekwa wapi na zinahifadhiwa kwa mda gani Tunataka sheria ambayo itatupa muongozo.
Kama kawaida. Watanzania ni wepesi wa kupinga bila kutafakari. Wengi hawaoni implication ya watu kujifungia kamera holela tu. Wanatoa majibu mepesi. Hii ni kwa sababu hawataki kutafakari. Nchi zilizoendelea zina kamera kibao lakini kuna sheria na kanuni zinasimamia ufungaji na kuhifadhi na kuangalia kilichorikodiwa. Wengi wanadhani umetaka serikali ipige marufuku.tunataka kuwepo na sheria ambayo itatoa taratibu na adhabu kwa mtu atakaye funga camera na kuzitumia kinyuma na matakwa ya sheria.
mimi nicho taka pawepo na sheriaPasipo na sheria hapana kosa, kwahiyo kwakuwa hakuna sheria wapo sahihi kufunga hizo camera
Nicho taka ndiyo ninimimi nicho taka pawepo na sheria
sheria lazima iweke mamlaka ambayo itakuwa inasimamia hizo cameraweka pendekezo unataka sheria iseme nini