Matumizi ya chumvi kuondoa mikosi

Labda kweli maana nilishaenda kusalimia sehemu ilipofika usiku bundi wakawa wanalia sana juu ya ile nyumba basi wenye mji wakatoa jiko nje wakaweka chumvi kwenye moto ikawa inalia kama baruti flan hv baada yapo ckusikia bundi mpk naondoka
 
Labda kweli maana nilishaenda kusalimia sehemu ilipofika usiku bundi wakawa wanalia sana juu ya ile nyumba basi wenye mji wakatoa jiko nje wakaweka chumvi kwenye moto ikawa inalia kama baruti flan hv baada yapo ckusikia bundi mpk naondoka
Heee vitu vingine waweza kushangaa hadi basi..
 
Chumvi gani?!Au ile ya kuungia mbonga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…