Matumizi ya chumvi kuondoa mikosi

Teh teh,

Kuna ile unamkuta sisimizi fulani mkubwa unaanza mtea mate huku unaimba mahitaji yako daaah nilikuwa namtemea mpaka mate yananikauka huko wimbo wangu mkuu ni nyama na wali, sasa sijui ilikuwa kweli au ni imani
Nimependa hapo Nyama na Wali
 
Mkuu ukichoma si itaruka kama cheche????
 
Pia inatumika hata pale unapopika chakula cha watu wengi mf.kwenye sherehe au misiba, ukishawasha moto kabla hujabandika sufuria rusha chumvi kwenye moto pande zote tatu, kisha endelea na upishi, hakuna mchawi atakayefanikiwa kupiga zongo chakula hicho kitaiva kawaida labda uzembe wako
 
Mzaituni ndo olive eeh.. Ngoja niwe najipaka labda nyota itang'aa
 
Mkuu Jodeo umesema maneno ya ukweli sio kila dawa ni uchawi waambie Wa-Danganyika wamelala usingizi mzito kila kitu wanaamini ni uchawi wapo usingizi mzito Wadanganyika aliye wartoga amesha kufa hawawezi kupona kamwe Hongera Mkuu.@JODEO
Nyie Wakenya huwa mnakula maarage ya wapi?
 
Kismas au 'kiss my ass'?
 
Kumbe hizi issues za mitume na manabii kuhusu kuoga maji ya chumvi kuweka chumvi kwenye nyumba za waamini mbinu zote hizi wametoa Kwa Kwa " Mshana Jr' na mzizi mkavu!?"

Aaaah, sasa nimetambua kuwa dini uchwara hakika zimezangaa na manabii mikwala mbuzi nao ni kupiga deal za sadaka aiseeeeeh.

Ila naona hadi mwisho sijaona Aliyeleta mrejesho mubashara kabisa humu Je, hazina nguvu hizi chumvi za huko Tanzania!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…