Matumizi ya chumvi kuondoa mikosi

Matumizi ya chumvi kuondoa mikosi

Teh teh,

Kuna ile unamkuta sisimizi fulani mkubwa unaanza mtea mate huku unaimba mahitaji yako daaah nilikuwa namtemea mpaka mate yananikauka huko wimbo wangu mkuu ni nyama na wali, sasa sijui ilikuwa kweli au ni imani
Nimependa hapo Nyama na Wali
 
Kuna baadhi ya shida katika maisha utatuzi wake sio kwa waganga wa kienyeji ambako mara nyingi hukuacha na maagano
Kwahiyo Kuna hii tiba ya kutakasa kwa chumvi na mafuta ya mzeituni ambapo unaweza kutumia kwa kuchoma kuogea au kumwaga kuzunguka nyumba huku ukinuizia kufukuza mambo yote machafu na kukaribisha baraka na mafanikio
unaweza kufanya hivi mara moja kwa siku mara tatu au mara mbili kwa wiki nzima
Mkuu ukichoma si itaruka kama cheche????
 
Pia inatumika hata pale unapopika chakula cha watu wengi mf.kwenye sherehe au misiba, ukishawasha moto kabla hujabandika sufuria rusha chumvi kwenye moto pande zote tatu, kisha endelea na upishi, hakuna mchawi atakayefanikiwa kupiga zongo chakula hicho kitaiva kawaida labda uzembe wako
 
Ina matokeo mazuri kutokana na imani yako kwenye manuizi
Wengi wamefanikisha na kukwamuka hasa kwenye kuuza nyumba viwanja nk....hata katika mahusiano pia na ndoa zinazolegalega
Mafuta ya mzeituni hung'arisha
Chumvi huleta ladha....
Kwahiyo manuizi yako lazima yalenge huko
Mzaituni ndo olive eeh.. Ngoja niwe najipaka labda nyota itang'aa
 
Mkuu Jodeo umesema maneno ya ukweli sio kila dawa ni uchawi waambie Wa-Danganyika wamelala usingizi mzito kila kitu wanaamini ni uchawi wapo usingizi mzito Wadanganyika aliye wartoga amesha kufa hawawezi kupona kamwe Hongera Mkuu.@JODEO
Nyie Wakenya huwa mnakula maarage ya wapi?
 
->msindikize mgeni usiempenda huku umeshika chumvi kiganjani mkono wa kushoto,wakati mnaachana kwa kupeana mikono,hasa wakati unageuka kurudi irushe Juu nyuma yako huku ukisema," kismass and never come to me again"ondoka bila kuheuka nyuma straight to home...
Kismas au 'kiss my ass'?
 
Tobiti ipo kwenye bilblia mbona sjaona icho kitabu
Waplotestant waliviondoa baadhi ya vitabu kwa faida zao binafsi.
c8d7b6fe4f42f756b7e2054f1324c63e.jpg
 
Kumbe hizi issues za mitume na manabii kuhusu kuoga maji ya chumvi kuweka chumvi kwenye nyumba za waamini mbinu zote hizi wametoa Kwa Kwa " Mshana Jr' na mzizi mkavu!?"

Aaaah, sasa nimetambua kuwa dini uchwara hakika zimezangaa na manabii mikwala mbuzi nao ni kupiga deal za sadaka aiseeeeeh.

Ila naona hadi mwisho sijaona Aliyeleta mrejesho mubashara kabisa humu Je, hazina nguvu hizi chumvi za huko Tanzania!?
 
Back
Top Bottom