Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na anaejiita hivo unaweza mpeleka nje akashindwa kufanya kazi, CPA yake ni ndani ya mipaka tu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Wakili msomiNimekua nikiona watu wengi sana sasa hivi wakitumia initial za CPA kwenye majina yao hii kiprofessional imekaa sawa like Dr's wanavotumia initials kwenye majina au tu ni ushamba na ku-force mambo kwa hawa wahasibu wetu? 😃
weka hao wote pembeni, kuna mtu unapomtaja lazima uanze na neno "msomi..".Distinguish Dkt, Professor, CPA, Engineer,,Nurse, Jalalani
ushamba tu na ulimbukeni hasa kwa wanasisiem naona wanalitumia sana kwa huyu makalla mwenezi na wengineNimekua nikiona watu wengi sana sasa hivi wakitumia initial za CPA kwenye majina yao hii kiprofessional imekaa sawa like Dr's wanavotumia initials kwenye majina au tu ni ushamba na ku-force mambo kwa hawa wahasibu wetu? 😃
We chawa Lucas Mwashambwa njooCPA Lucas Muosha Mbwa...... Mlamba Matakor
Unatukuza wazungu?Ukiona wazungu hawatumii basi ujue sio sahihi.
Wanasaka Ajira... Unq CPA halafu unalipwa TZS 1,000,000 kwa mwezi???Nimekua nikiona watu wengi sana sasa hivi wakitumia initial za CPA kwenye majina yao hii kiprofessional imekaa sawa like Dr's wanavotumia initials kwenye majina au tu ni ushamba na ku-force mambo kwa hawa wahasibu wetu? 😃
Uko stage gani boss?Mimi ndiyo naitafuta hiyo CPA aki nikiipata lazima nijiwekee "CPA T Financial services "😀😀 si kwa struggle hii 🙌
Nipo final mkuu, Mungu akipenda namaliza MayUko stage gani boss?