Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Kuna rais wa timu moja ya mpira naye lazima wamuite Engineer! Sijawahi kuelewa hiyo Eng. ina mahusiano gani na mpira wa miguu.ushamba tu na ulimbukeni hasa kwa wanasisiem naona wanalitumia sana kwa huyu makalla mwenezi na wengine