B5&C3 zilinipaga changamoto enzi hizo 2016.Lkn nilitoboa.So nawe Mungu akujalie utoboe boss.Nipo final mkuu, Mungu akipenda namaliza May
Huitendei haki mkuu jiite CPA T Top gearππNinayo lkn hua siioni umuhimu wa kuiandika mbele ya jina langu.Lkn pia anayeiandika mbele ya jina lake sioni tatizo.
πππ hua nasahau hata Kama ninayo mkuu.Nikienda kwny seminar za NBAA au kwny ku-update taarifa ofisini ndo hua naikumbuka.Huitendei haki mkuu jiite CPA T Top gearππ
Amina ahsante, mimi sina hamu na B1 imenisumbua 2 times, now nafanya C3 kaka ake B1 naogopa ππB5&C3 zilinipaga changamoto enzi hizo 2016.Lkn nilitoboa.So nawe Mungu akujalie utoboe boss.
Ila maajabu ukija kuipata inayakua ya kawaida Sana,Kuna muda unasahau hata Kama unayo.
ππngoja nione nikiipata but sidhani kama ntasahau aisee muda huu ndiyo natoka darasani imagine hadi nifike home ni saa 4 kulala saa 5 kesho kazini mapema aah aisee nikimaliza ntaalika hadi matarumbetaπππππ hua nasahau hata Kama ninayo mkuu.Nikienda kwny seminar za NBAA au kwny ku-update taarifa ofisini ndo hua naikumbuka.
ππ B1 nilichomoka kimiujiza ujiza hivi mkuu.C3 Nimekumbuka mambo ya interest rate swap utapambana nayo hapo si mchezo ππAmina ahsante, mimi sina hamu na B1 imenisumbua 2 times, now nafanya C3 kaka ake B1 naogopa ππ
Kuna jamaa hapa anasema wenye CPA wanapenda kuonekana kama watumiaji wa iphoneπππNimekua nikiona watu wengi sana sasa hivi wakitumia initial za CPA kwenye majina yao hii kiprofessional imekaa sawa like Dr's wanavotumia initials kwenye majina au tu ni ushamba na ku-force mambo kwa hawa wahasibu wetu? π
ππ Mi nilivyoenda kwny graduation nililala pale pale APC hotel bunju kuanzia J3 mpk siku ya Graduation (jmosi) napiga kinywaji tu kwa Raha zangu tu.ππngoja nione nikiipata but sidhani kama ntasahau aisee muda huu ndiyo natoka darasani imagine hadi nifike home ni saa 4 kulala saa 5 kesho kazini mapema aah aisee nikimaliza ntaalika hadi matarumbetaππ
[emoji16][emoji16]Kuna jamaa hapa anasema wenye CPA wanapenda kuonekana kama watumiaji wa iphone[emoji23][emoji23][emoji23]
Kupanga ni kuchagua mzee.Hizo initials zisikutishe,
Elimu kubwa, matokeo kidogo.
Kuna ambao hawajui hata maana ya CPA,
lakini wana uchumi mkubwa kuliko wewe na vizazi vyako vyote
Nikisikia Swap nahisi kuchanganyikiwaπππ B1 nilichomoka kimiujiza ujiza hivi mkuu.C3 Nimekumbuka mambo ya interest rate swap utapambana nayo hapo si mchezo ππ
Hahah piga moyo kondo mkuu,utatoboa.Nikisikia Swap nahisi kuchanganyikiwaπ
ππ kwenye zile venues za mitihani kuna AC kali ila bado mtu unasweat afu wanasema tusiweke initials za CPA T... aah waache hizo banaππππ Mi nilivyoenda kwny graduation nililala pale pale APC hotel bunju kuanzia J3 mpk siku ya Graduation (jmosi) napiga kinywaji tu kwa Raha zangu tu.
Baada ya kupiga pepa za NBAA ndo nilielewa kwanini watu hua wanasema naenda 'kuchukua' masters.Masters ni piece of cake.Hakuna anayefeli masters.
Ila hakuna lugha ya ninaenda 'kuchukua' CPA ππ
πππ hawaelewi inavyokuaga mle,we jiite kwa raha zako mkuu.Tembea Kifua mbeleππ kwenye zile venues za mitihani kuna AC kali ila bado mtu unasweat afu wanasema tusiweke initials za CPA T... aah waache hizo banaππ
Kuna pepa tena ilikua ngumu hiyo , namcheki jirani kwa mbali naona anasoma maswali afu anaguna ile Mmmh anaenda hadi page ya mwisho anarudi mwanzo anavuta pumzi ndefuuπππ nikasema sasa itakuaje kwa mimi mbovu hata hakukaa akaondoka zake akawaachia pepa yaoπππππ hawaelewi inavyokuaga mle,we jiite kwa raha zako mkuu.Tembea Kifua mbele
Ushamba tuNimekua nikiona watu wengi sana sasa hivi wakitumia initial za CPA kwenye majina yao hii kiprofessional imekaa sawa like Dr's wanavotumia initials kwenye majina au tu ni ushamba na ku-force mambo kwa hawa wahasibu wetu? π
Haha ndio maana ya CPA(T) mkuu, maana yake huyo anaweza kufanya kazi ndani ya mipaka ya Tanzania tu, mhasibu anayeweza kufanya kazi kwenye Nchi mbalimbali ni mwenye ACCA tuNa anaejiita hivo unaweza mpeleka nje akashindwa kufanya kazi, CPA yake ni ndani ya mipaka tuππππ