Kuna rais wa timu moja ya mpira naye lazima wamuite Engineer! Sijawahi kuelewa hiyo Eng. ina mahusiano gani na mpira wa miguu.ushamba tu na ulimbukeni hasa kwa wanasisiem naona wanalitumia sana kwa huyu makalla mwenezi na wengine
CPA Makala(Mr gugu)!π€£π€£π€£Nimekua nikiona watu wengi sana sasa hivi wakitumia initial za CPA kwenye majina yao hii kiprofessional imekaa sawa like Dr's wanavotumia initials kwenye majina au tu ni ushamba na ku-force mambo kwa hawa wahasibu wetu? π
Ushamba tuNimekua nikiona watu wengi sana sasa hivi wakitumia initial za CPA kwenye majina yao hii kiprofessional imekaa sawa like Dr's wanavotumia initials kwenye majina au tu ni ushamba na ku-force mambo kwa hawa wahasibu wetu? π
Ugumu wa kupata CPA ni zaidi ya ugumu wa kuwa daktari wa mifugo?CPAs wasiotumia initial ya CPA ni wengi kuliko CPAs wanaotumia initial ya CPA.
CPA ni certification inayotambulisha watu wanaoruhusiwa kufunga mahesabu, kusimamia idara za uhasibu au kufanya ukaguzi wa mahesabu kisheria.
Hivyo wakitumia si jambo baya tuwatambue na kuwatumia kwa urahisi
Ugumu wa kupata CPA huchangia wanaoipata kuona faraja kutambulika
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo ni professional au profession?π€£π€£Na wewe usome uandike professional yako . As initial
unajua wengi wa ile timu si ndo wale wenye akili ya ki-sisiemu kwa hiyo siyo ajabuKuna rais wa timu moja ya mpira naye lazima wamuite Engineer! Sijawahi kuelewa hiyo Eng. ina mahusiano gani na mpira wa miguu.
Inamaanisha wewe ulifeli na marudio pia. Pole sanaNimekua nikiona watu wengi sana sasa hivi wakitumia initial za CPA kwenye majina yao hii kiprofessional imekaa sawa like Dr's wanavotumia initials kwenye majina au tu ni ushamba na ku-force mambo kwa hawa wahasibu wetu? π
Akili za ngwini[emoji3][emoji3] kwenye zile venues za mitihani kuna AC kali ila bado mtu unasweat afu wanasema tusiweke initials za CPA T... aah waache hizo bana[emoji3][emoji3]