Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Vita ya Ukraine na Urusi na sasa mashambulizi ya Israel huko Gaza na Lebanon, imethibitishwa pasipo shaka kuwa aina za kizamani za zana za kivita, hazina msaada mkubwa kwa sasa.
Matumizi ya "Drone" na zana nyingine za kiupelelezi pamoja na ndege zenye teknolojia za hali ya juu sana, zinafanya mfumo na mitindo ya kupigana vita ibadilike.
Nimeona maelezo haya, yamenitia hofu Sana. Kama ni kweli jee majeshi yetu Afrika yana aina hii ya teknolojia?
Matumizi ya "Drone" na zana nyingine za kiupelelezi pamoja na ndege zenye teknolojia za hali ya juu sana, zinafanya mfumo na mitindo ya kupigana vita ibadilike.
Nimeona maelezo haya, yamenitia hofu Sana. Kama ni kweli jee majeshi yetu Afrika yana aina hii ya teknolojia?