Noted.Mambo yanabadilika sana ndugu. Sasa ivi kwa wenye ndoa na wachumba sugu hutumia email kustuana na na kupeana appointment za kunyanduana au kukutana lakini pia kutumiana picha na meseji za mapenzi.
Hii ni kutokana na uelewa mdogo baina ya wanandoa au wachumba juu ya matumizi ya email ha vivyo basi njia hii kuonekana ni salama zaidi.
Wanandoa na wachumba wanaoruhusu simu zao zitumiwe na wenzi wao, hawaweki password WhatsApp na sehemu nyingine zote. Umeshawahi kufungua sehemu ya email ambayo wengi huwa hawana habari nayo?
Michepuko wa sasa huelekezana jinsi ya kutumia email kukwepa ufichuzi wa wenza wao wasio na uelewa wa matumizi ya email.
Eeeeeh eeeeh eeehTena sio G-mail Tunachatia Yahooo uko hamna anaejua
Hadi umechoka ππππππAiseee
Binaadamu hachungwi, akiamua kaamua hakuna namna hadi atakapo aamua kuaacha mwenyewe au Mungu amzalilishe na maovu yake hadharani, kama juzi kuna uzi ulitembea humu jamaa anaburuzwa barabarani na demu kagongq k alafu hataki kulipa!!Mambo yanabadilika sana ndugu. Sasa ivi kwa wenye ndoa na wachumba sugu hutumia email kustuana na na kupeana appointment za kunyanduana au kukutana lakini pia kutumiana picha na meseji za mapenzi.
Hii ni kutokana na uelewa mdogo baina ya wanandoa au wachumba juu ya matumizi ya email ha vivyo basi njia hii kuonekana ni salama zaidi.
Wanandoa na wachumba wanaoruhusu simu zao zitumiwe na wenzi wao, hawaweki password WhatsApp na sehemu nyingine zote. Umeshawahi kufungua sehemu ya email ambayo wengi huwa hawana habari nayo?
Michepuko wa sasa huelekezana jinsi ya kutumia email kukwepa ufichuzi wa wenza wao wasio na uelewa wa matumizi ya email.
dah!! Hivi kwa kasi na spidi hii unadhani tunakimbilia motoni au kwenye raha ya milele?Binaadamu hachungwi, akiamua kaamua hakuna namna hadi atakapo aamua kuaacha mwenyewe au Mungu amzalilishe na maovu yake hadharani, kama juzi kuna uzi ulitembea humu jamaa anaburuzwa barabarani na demu kagongq k alafu hataki kulipa!!
ππππππππππππππππππππ nimecheka kwa sauti hapa lecture aiseeeeenaandika msg pdf natuma