Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
Ikiwa CAG huchunguza matumizi Kwa taasisi za Serikali Kuu na Serikali za mitaa (halmashauri) kisha huleta ripoti bungeni. Je huchunguza matumizi katika Bunge letu tukufu? Hawa waheshimiwa wanafaidi keki ya Taifa ipasavyo Kwa njia zifuatazo (ukiacha mishahara minono).
1. Posho Nono za kamati za kisekta (zikiwemo safari za nje na ndani ya nchi).
2. Gharama za kukodisha hoteli za hadhi ya juu Kwa vikao vya kamati.
3. Matibabu nje ya nchi kwa waheshimiwa na wategemezi wao.
1. Posho Nono za kamati za kisekta (zikiwemo safari za nje na ndani ya nchi).
2. Gharama za kukodisha hoteli za hadhi ya juu Kwa vikao vya kamati.
3. Matibabu nje ya nchi kwa waheshimiwa na wategemezi wao.