Kiswahili kina baadhi ya mapungufu. Katika kiingereza tunaambiwa Kuna three organs of the Government which are executive, judiciary and Parliament, sasa sijui ni kukosa neno sahihi la kiswahili la executive na kupelekea kusema bunge na mahakama sio government (serikali) .
Ndio maana bajeti inaposomwa inasomwa ya serikali nzima, ya mahakama na bunge pia ikiwemo. Na pia ukaguzi wa bunge na mahakama ufanyika kupitia wizara husika nafikiri ni wizara ya katiba na Sheria kwa upande wa mahakama na wizara ya bunge, sera na uratibu kwa upande wa bunge. Ni hayo tu kwa uchache ninavyoona