Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuondolee upuuzi huoJamani Mnaonaje matumizi ya Kiswahili katika usaili wa kazi….toa maoni yako
Utakuwa umekariri, Yaan ww huwezi elezea kitu kwa lugha ya kiswahili?? Mbona hapa umeendika kiswahili??Sijasoma kada yangu Kiswahili leo ulete Interview ya kiswahili si utanimaliza
Utakuwa umekariri, Yaan ww huwezi elezea kitu kwa lugha ya kiswahili?? Mbona hapa umeendika kiswahili??
Ni sawa na kubadirisha gia angani..!!! Siwezi fundishwa kwa kiingereza then uje unisaili kwa kiswahili..!!! Hii inatakiwa ianzie darasani. Mfano leo hii ukiulizwa jinsi MFULUMBATO unavyofanya kazi, bila desa hapo ulipo utaweza..!? Lakini huo huo MFULUMBATO ukitajiwa kwa kiingereza, mbona utaseleleka..!Jamani Mnaonaje matumizi ya Kiswahili katika usaili wa kazi….toa maoni yako
We mbugila umekariri, kuna vitu utataja kwa lugha ya kiingereza na vingine utaeleza namna vinafanya kazi kwa kishwahili.Wewe unaongea nini... mtu aliyesoma software engineering aelezee mifumo kishwahili anaweza sasa mbona unabishia uhalisia
Mtu wa biotechnology! usichukulie vitu simple
Kuna haja gani ya kusomea kwa kiswahili halafu interview ifanywe kwa kiingereza? Hawa wanasiasa uchwara wanaposhindwa jambo wanataka kupindisha sheria. Watu walisoma elimu ya kuungaunga hawajui kiingereza wanalazimisha kila kitu kiwe kwa kiswahili wakati shule zinasomesha kwa kiingereza.Utakuwa umekariri, Yaan ww huwezi elezea kitu kwa lugha ya kiswahili?? Mbona hapa umeendika kiswahili??
We mbugila umekariri, kuna vitu utataja kwa lugha ya kiingereza na vingine utaeleza namna vinafanya kazi kwa kishwahili.
Ina maana akikuuliza FACEBOOK imafanye kazi utashindwa kujibu?
Sasa hapo utakuwa umetumia kiswahili..!?We mbugila umekariri, kuna vitu utataja kwa lugha ya kiingereza na vingine utaeleza namna vinafanya kazi kwa kishwahili.
Ina maana akikuuliza FACEBOOK imafanye kazi utashindwa kujibu?
Sasa hapo utakuwa umetumia kiswahili..!?
Achana na hiyo takataka ya hkl [emoji706][emoji706]Wewe unaongea nini... mtu aliyesoma software engineering aelezee mifumo kishwahili anaweza sasa
Mtu wa biotechnology! Unampa adhabu usichukulie vitu simple
Software engineer anaanza kuulizwa Facebook..?, unazalilisha ukoo wakoWe mbugila umekariri, kuna vitu utataja kwa lugha ya kiingereza na vingine utaeleza namna vinafanya kazi kwa kishwahili.
Ina maana akikuuliza FACEBOOK imafanye kazi utashindwa kujibu?
Achana na hiyo takataka ya hkl [emoji706][emoji706]
Una IQ ndogo waache wenye IQ kubwa wajadili suala hiliWe mbugila umekariri, kuna vitu utataja kwa lugha ya kiingereza na vingine utaeleza namna vinafanya kazi kwa kishwahili.
Ina maana akikuuliza FACEBOOK imafanye kazi utashindwa kujibu?