Matumizi ya Kiswahili katika usaili wa kazi

Matumizi ya Kiswahili katika usaili wa kazi

Sidhani kama umeelewa mada, rudia kusoma upya, ndo uje na hoja za akili mbugila wewe
Nimeelewa vizuri sana, nimeisoma na malalamiko yenu ya kijinga nimeyaelewa.

Kwa akili yako unahisi maswali yataulizwa kwa kiswahili tupu bila kuweka misamiati ya kiingereza au sio?? Basi haipo hivyo, nakupa mfano mwaka 2003 nilikuwa Afrika Kusini, nilikuwa nafanya kazi na Makabulu, wale jamaa wanatumia Kiafrikaans zaidi ya Kiingereza ingawa wanajua hiko Kiingereza.

Usaili unapofanya unaulizwa kwa Kiingereza na wakati huo, utajibu kwa kiingereza na ukiweza unachanganya na Lugha zao zile Rasmi, kama kizulu, kiXhosa nk.

Kinachofanyika, unapoulizwa swali, utalijibu vyoyote uwezavyo, lkn kwenye kuelewesha unaruhusiwa kutumia Kiswahili ambacho umekizoea katika kutoa maelezo ya kitu fulani. Ikumbukwe kwenye usaili sio wote waliokuwa kwenye PANEL wamesomea kile ulichotakiwa kuajiriwa hivyo kutumia kiswahili kutawapa pia urahisi zaidi wa kuelewa hiko kitu.

Lkn pia unayeulizwa unakuwa na uwanja mpana sana wa kuelezea kitu kwa mifano rahisi nk.
 
Mm sio mmakonde ila wazazi wangu walihamia huo miaka na miaka hivyo nami najiona ni mmakonde maana huko kwenye Asili yetu sijawahi hata kuishi.
Nimekuelewa atleast una u decency ndani ikija kwenye background yako bila hivyo ungekuwa umekosa yote
 
Kasema kweli bhana. Ishu sio softweea ishu ni jinsi unavojieleza bob

Haya asa mfano kwa jamii za kitanzania ukipewq nafasi ukatoe elimu utawaelezeaje?? na jamii za kitanzania hawajui kiingereza 😅😅😅
Nimekuelewa pau ila Kutoa elimu inatolewaga kwa lugha ya layman...sasa pale kwenye interview uko na watu mnaoongea lugha moja

and sio kila kazi inahitajika kutoa elimu kwa wa Tz
 
Hujaelewa mantiki ya hayo maelezo??? Hujaelimika na sina shaka kwanini hujaajiriwa hadi leo.
Nilichojifunza hapa ni kwamba unajitahid kujionyesha kuwa you are one hell of a guy ila kiukweli wewe ni loser

everybody can see through you
 
Nimekuelewa atleast una u decency ndani ikija kwenye background yako bila hivyo ungekuwa umekosa yote
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] Humu ndani ukifa na stress umejitakia.
 
Hakuna kitu ukashindwa elezea kwa kiswahili ww PIMBI, vinginevyo umekariri, mimi najua kwa ufasaha lugha 5.
1. Kiswahili
2. Kiingereza
3. Kireno
4. Kidanish
5. Kimakonde.

Wewe hujafika hata Burundi hapa unataka kusema hujui kujieleza kiswahili, acha ushamba dogo. Watu tumeishi nje ya Afrika na tunaongea Kiswahili hata utuulize nini.

Mtu akikuuliza software fulani inafanyaje kazi wewe kwa ujinga wako utashindwa elezea??

Au tuseme umeulizwa RAM kazi yake ni nini wewe huwezi elezea mtu akaelewa??

Acha ushamba, tafuta Passport katoe ushamba boya wewe.
Hata huko tunakoamini kunatoa ushamba, nako kuna washamba..!!!
 
Back
Top Bottom