Tatizo kubwa ni mtindo unaotumika katika kuajiri hawa watangazaji
1) Rushwa imechukua nafasi ya juu katika ajira zetu, wanaachwa wenye uwezo wanachukuliwa wasio nao
2) Inapaswa Kiswahili kinacho tumika kwenye vyombo vya habari kiwe fasaha, kwani wale wasio jua Kiswahili hujifunza kwa kusikiliza watangazaji wa vyombo vyahabari
3) Kunawatangazaji wachahe ambao kweli navutiwa na utangazaji wao, wa lugha iliyo fasaha na ya uwazi zaidi, kama dada Regina Mwalekwa na Kaka Ephrahim Kibonde, hawa ni mfano wa kuigwa kwa watangazaji wapya wanaoingia kwenye fani hii