Unapoisikiliza BBC au Redio ya Ujerumani, unapata maneno sahihi ya lugha ya Kiswahili bila ya kuwepo mchanganyiko wa lugha. Watangazaji wetu wa Redio hapa Tanzania ni tofauti sana.
Je!tatizo ni nini hasa,watangazaji wetu ni wavivu wa kujua lugha au ni makusudi?
John
Je!tatizo ni nini hasa,watangazaji wetu ni wavivu wa kujua lugha au ni makusudi?
John