Matumizi ya mbegu za mbarika (mnyonyo) kiafya

Matumizi ya mbegu za mbarika (mnyonyo) kiafya

Mi mnyonyo umenikataa. Nilikuwa nameza mbili kila baada ya kumaliza period. Nilitumia vzr kwa miez 7, ghafla nikajikuta nna mimba. Nimekata tamaa kabisa na uzazi wa mpango asilia. Mnyonyo ndo ilikuwa tumaini langu la mwisho. Nafikiria kufunga nikijifungua. Ingawa habari ni nyingi juu ya kufunga kwa umri mdogo. Nna miaka 31. Natarajia mtoto wa nne, thanks to njia za asili.

Wanne no matter una umri gani, wanatosha mdgo wangu!
 
Mbegu za mnyonyo nyekundu ndio nzuri kwa uzazi wa mpango lakini pia ukila kwa wingi zinaharibu mpaka kizazi chenyewe na kukufanya uwe ni Tasa mimi ninayo dawa ya uzazi wa mpango nzuri na haina madhara ukihitaji dawa yangu,Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169
sikupati kwa whatsapp mkuu
 
Back
Top Bottom