Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi mnyonyo umenikataa. Nilikuwa nameza mbili kila baada ya kumaliza period. Nilitumia vzr kwa miez 7, ghafla nikajikuta nna mimba. Nimekata tamaa kabisa na uzazi wa mpango asilia. Mnyonyo ndo ilikuwa tumaini langu la mwisho. Nafikiria kufunga nikijifungua. Ingawa habari ni nyingi juu ya kufunga kwa umri mdogo. Nna miaka 31. Natarajia mtoto wa nne, thanks to njia za asili.
sikupati kwa whatsapp mkuuMbegu za mnyonyo nyekundu ndio nzuri kwa uzazi wa mpango lakini pia ukila kwa wingi zinaharibu mpaka kizazi chenyewe na kukufanya uwe ni Tasa mimi ninayo dawa ya uzazi wa mpango nzuri na haina madhara ukihitaji dawa yangu,Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169
Kama unauhitaji nitafute nitakupatia nipo kahama-0759018978Unapatikana wapi huo mnyonyo naomba nisaidie jinsi ya kuupata
Ntafute 0723433568natafuta begu za mnyonyo kwa wingi
ntafute0713433568natafuta begu za mnyonyo kwa wingi
BUKOBA yapo mengi sanaUnapatikana wapi huo mnyonyo naomba nisaidie jinsi ya kuupata