mkaamweusi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2013
- 618
- 824
Enyi wafanyabiashara au wajasiriamali,msipende kukatumia haka kaneno 'boss' mfano Karibu boss,umetaka ipi boss?,
Ni neno ambalo linatumika in various environment. But let me be specific kwa case ya Mfanyabiashara na mteja.
Hili neno nimelitumia sana na watu wengi wamelitumia sana kwangu,kimsingi nineno ambalo lina Leta maudhi kidogo,MTU unaweza kuona kama vile "Unakuwa Manipulated kiaina"
Halafu asilimia kubwa ya wanaolitumia hawako Genuine,no true feelings of calling you Boss, they want to manipulate you.
Kwa wale smart psychollogicaly they can turn down the deal,Ukaishia kubakia na bidhaa zako kwa maneno ya kipuuzi kabisa!
Be ware! Before embarking some 'memes' its better you consider their effect.Kama ni mtani mwenzio its okey!Be real!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni neno ambalo linatumika in various environment. But let me be specific kwa case ya Mfanyabiashara na mteja.
Hili neno nimelitumia sana na watu wengi wamelitumia sana kwangu,kimsingi nineno ambalo lina Leta maudhi kidogo,MTU unaweza kuona kama vile "Unakuwa Manipulated kiaina"
Halafu asilimia kubwa ya wanaolitumia hawako Genuine,no true feelings of calling you Boss, they want to manipulate you.
Kwa wale smart psychollogicaly they can turn down the deal,Ukaishia kubakia na bidhaa zako kwa maneno ya kipuuzi kabisa!
Be ware! Before embarking some 'memes' its better you consider their effect.Kama ni mtani mwenzio its okey!Be real!
Sent using Jamii Forums mobile app