matumizi ya new ID yasitishwe humu!

asakuta same

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2011
Posts
14,829
Reaction score
5,035
kumekuwa na kawaida ya wana love connect kutumia ID mpya kupost mahitaji yao. kama mtu unauhitaji huna sababu ya kujibana bana humu ,kwanza hata wanaokufahamu humu wanahesabika na hizo ID mpya zinakosa mvuto wa kumvutia huyo mwenzako unayemtafuta.

inapendeza na inaleta uhalali wa ulitakalo unapotumia ID yako tuliyoizoea ,kwa mfano kama alivyopost Madame B

jamani ,tutumie ID zetu zilizozoeleka kwa mafanikio zaidi ya uhitaji wetu.
 
Last edited by a moderator:
Kwa nini usishauri matumizi ya majina halisi badala ya 'old' ID?
 

Mi nawashangaa ndo maana kumbe wanarudi kulalamika oooh hatupati wake.....
wakati tupo Single ladies hapa na we are Serious Searching!!!!!
mtu anakuja na kaID kapya hata hakajulikani anatafuta mke, utampataje wakati hata hakujui.

Imagine asakuta same unabandika hapa tangazo unatafuta kwanini nisite kuwa na wewe wakati nahitaji na nakujua??????
shauri enu na viID vyenu mtatafuta january to december hampati mtu hapa.........
 
Last edited by a moderator:
Wengine ni kutojiamini, wengine ni jokes, hili jukwaa linakosa mvuto na maana kwa sababu hiyo. Mahusiano sio swala la kulifanyia mzaha, tuwe serious basi.
 
Mimi nikiweka la kwangu, moja ya sharti huyo mtu awe na experience ya MMU isiyopungua 3 years ili nimfuatilie mabandiko ya nyuma.
 

ndiyo hapo sasa , sisi makomando tutawatambua vipi masingo ladies wakati mnajificha ficha nyuma ya ID mpya.......

jirekebisheni bana.
 
Wengine ni kutojiamini, wengine ni jokes, hili jukwaa linakosa mvuto na maana kwa sababu hiyo. Mahusiano sio swala la kulifanyia mzaha, tuwe serious basi.

hapo kwenye kutokujiamini ndiyo kunakowafanya hata wasifanikiwe kwenye uhitaji wao.......
hapo kwenye jokes ni kuharibu sifa ya jukwaa kabisa.
 
Mimi nikiweka la kwangu, moja ya sharti huyo mtu awe na experience ya MMU isiyopungua 3 years ili nimfuatilie mabandiko ya nyuma.
hahah, wifi umenikumbusha mtu alikuja humu akasema anatafuta mume ila awe senior member, lol. Ngoja nilipie subscription yangu manake sikawii kukosa kuchumbiwa kisa sio premium member lol
 
Mimi nikiweka la kwangu, moja ya sharti huyo mtu awe na experience ya MMU isiyopungua 3 years ili nimfuatilie mabandiko ya nyuma.


unajua uzuri wa kutumia ID yako inayofahamika kuna faida kubwa sana unakuta humu kuna watu wanakufuatilia muda mrefu sema mtu anashindwa/ogopa kufunguka kwasababu moja au nyingine , sasa akiona unauhitaji inakuwa rahisi kufunguka.

kwanini hapo kwenye blue?
 
Hayawezi kusitishwa maana mtu huwezi kumkatalia kama anajiunga wanaofanya hivyo ni wahuni wa humu wakitaka kutumia JF kama sehemu ya kufanyia haya mambo tuwaaambie waache ni tabia mbaya
 
ndiyo hapo sasa , sisi makomando tutawatambua vipi masingo ladies wakati mnajificha ficha nyuma ya ID mpya.......

jirekebisheni bana.

Mi nikiwa na shida sijifichi na ndo maana nashinda Love connect kumbe watu wenyewe wana vifake ID!!!
kuna mkaka mmoja namuwinda kama nini utakuta kumbe kishatangaza na new ID aagggrrr goodby love connect.
 

kweli, ila mimi nahitaji kuongeza mke!
 
Ujitokeze sasa na ID yako ya kila siku....!!!!!

kwa hili hope ngoja niweke sasa majina yangu kamili, ingawa nashindwa utundu wa kubadili. kama naweza ongeza ALIAS, aka, naombeni msaada wana jf
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…