Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi nikiwa na shida sijifichi na ndo maana nashinda Love connect kumbe watu wenyewe wana vifake ID!!!
kuna mkaka mmoja namuwinda kama nini utakuta kumbe kishatangaza na new ID aagggrrr goodby love connect.
asakuta same nashukuru kwa kuliona hilo.
Mie binafsi wala sioni haja ya kujificha.
Mie Madame B, nikihitaji ushauri, mawazo au kupost chochote nakuja kwa ID yangu hii hii.
Kusitisha kuanzisha ID mpya itakuwa vigumu(watumiaji wengi wa jf hawataacha kufanya hivyo), labda kujaribu kubadilisha structure nzima ya JF, jambo ambalo naona wengi hawataafiki pia.
Kweli watu wana IDs lakini kwani ni za kweli? Ni fake na hazileti picha halisi ya mtu.
Kwani ni vibaya kuwa na system kama hii..
JINA KAMILI.
TAR. MWEZI NA MWAKA WA KUZALIWA(OPTIONAL )
MAHALI MTU ANAPOISHI.
PROFILE YA ELIMU AU OCCUPATION(IWE ELIMU AU BIASHARA )
LABDA SEHEM YA PICHA NA VITU KAMA HIVYO, HOBBIES NA MAMBO MENGINE.
Naamini hata comments watu wanazotoa zitakuwa na maana zaidi, sasa hivi naweza kutoa comment yoyote hata iwe ovyo, si nnajua hamna anayenifaham!
Mna mapepo ndio maana hamuolewi. Nendeni mkaombewe. Kushinda MMU na Love Connect siyo jibu, jibu ni kuPM Mwana Mtoka Pabaya awatakase kwa dushelele yake ya dhahabu halafu utaona jinsi vile wachumba watamiminika kwa shop yako
Mimi Shark natafuta demu (mwizi mwenzangu) wa kujivinjari nae tu, sitaki mahusiano ya serious, na wala tusioneane wivu!!
Nikiwa nae kitandani akapigiwa na Boyf/mume wake, rukhsa kuongea nae hata kwa mapozi. Nami pia hivyohivyo!!
Mie naona aibu kutumia id yangu...(Muulizeni charminglady jinsi ambavyo IDs zilizozoeleka zinavyokuwa kikwazo kufunguka kwenye issues)
Kweli nimekupata! Mambo ya new ID yaachwe kabisa.
aaaaah wapi huoni wanarudi kulalamika hawapati wachumba???
au mtu anarudia kutangaza hata mara nne na bado patupu???
hahah, wifi umenikumbusha mtu alikuja humu akasema anatafuta mume ila awe senior member, lol. Ngoja nilipie subscription yangu manake sikawii kukosa kuchumbiwa kisa sio premium member lol
Do ndio hapo pacha wangu,kuwa open hivyo pacha ndiyo inatakiwa , , , ,siyo kudanganya mtu awe na matarajio lukuki kumbe hamna kitu
nakushauri hamia PM
Kwa hiyo ukitumia ID ya zamani ndo wapata mchumba?
Unafikiri watu wakitaka kukufahamu hata jina lako halisi watashindwa? Hii digital zaidi sema tu bado hawana maslahi na wewe...Kusitisha kuanzisha ID mpya itakuwa vigumu(watumiaji wengi wa jf hawataacha kufanya hivyo), labda kujaribu kubadilisha structure nzima ya JF, jambo ambalo naona wengi hawataafiki pia.
Kweli watu wana IDs lakini kwani ni za kweli? Ni fake na hazileti picha halisi ya mtu.
Kwani ni vibaya kuwa na system kama hii..
JINA KAMILI.
TAR. MWEZI NA MWAKA WA KUZALIWA(OPTIONAL )
MAHALI MTU ANAPOISHI.
PROFILE YA ELIMU AU OCCUPATION(IWE ELIMU AU BIASHARA )
LABDA SEHEM YA PICHA NA VITU KAMA HIVYO, HOBBIES NA MAMBO MENGINE.
Naamini hata comments watu wanazotoa zitakuwa na maana zaidi, sasa hivi naweza kutoa comment yoyote hata iwe ovyo, si nnajua hamna anayenifaham!
sasa watu hawakujui watakukubali vipi???
Do ndio hapo pacha wangu,
Eti niogope kujulikana sababu tu natafuta Milupo.
Unafikiri watu wakitaka kukufahamu hata jina lako halisi watashindwa? Hii digital zaidi sema tu bado hawana maslahi na wewe...
Nitatuma maombi yangu fasta iwezekanavyo
Naona qualification ya 3 years una fit. LOL