Matumizi ya pombe safarini ni hatari kwa uhai wako mwenyewe

Matumizi ya pombe safarini ni hatari kwa uhai wako mwenyewe

basi sawa kuna mwingine atasema maisha ya faa nini bila kunyanduana....

Rai yangu ni moja tu ndugu yangu, hakuna wa kukukataza kufakamia pombe zako, jihadhari na unywaji pombe ukiwa UNASAFIRI, singependa unikumbuke akati unakata roho kama ambavyo bodaboda hujutia kwa sauti "mamaaa nakufa kwasababu ya kiburi changu kukatiza mataa nikiwa nimelewa na bila tahadhari" huku utumbo wote nje na miguu haijulikani ilipo, semitrela la cement limefanya kazi yake...

hiyo singependa imtokee yeyote aliepitia bandiko hili, ni mbaya sana
Kifo ni popote haijalishi umekunywa au haujakunywa,wangapi sio walevi lakini wamekufa katika ajali!
Ishi maisha kadri unavyoweza kuishi
 
Mwisho ni kwa dereva bodaboda wote, ndugu zangu acheni izo mtaisha na kuwa walemavu wote. Kunywa pombe zako baada ya kazi, itakusaidia kuepuka ajali na ulemavu.
Kuna jirani yangu alikuwa boda boda,baada ya kazi akanywa pombe yake ili apumzike,
Akaja mteja ana pesa nzuri akamuomba ampeleke ubungo kutokea tabata,
akakubali ile anaingia barabara kuu ya mandera bila kuangalia akagongwa na gari yeye akafafa,ila abiria alipona.
Nadhani tuchukue tahadhari kwa kusema kunywa na kulewa ni mojawapo ya vihatarishi maishani.
 
Dear gambe bye bye
IMG_20231105_152807_6.jpg
 
Kuna jirani yangu alikuwa boda boda,baada ya kazi akanywa pombe yake ili apumzike,
Akaja mteja ana pesa nzuri akamuomba ampeleke ubungo kutokea tabata,
akakubali ile anaingia barabara kuu ya mandera bila kuangalia akagongwa na gari yeye akafafa,ila abiria alipona.
Nadhani tuchukue tahadhari kwa kusema kunywa na kulewa ni mojawapo ya vihatarishi maishani.
dah! aise starehe hii ni hatari sana safarini na kwa maafisa usafirishaji mathalani bodabodas.

ni vizuri kuitumia uwezavyo starehe hii ukiwa mahali tulivu jirani na pakupumzikia.

ni vizuri zaidi kujizuia kutumia starehe hii ukiwa safarini, ukifika salama Safari yako basi unaweza kwenda kuburudika na kilevi ukipendacho taraaatibu....
 
Kit
27Pombe ni kama uhai kwa mtu ukinywa kwa kiasi.
Maisha yafaa nini bila pombe?
Imeumbwa iwafurahishe watu.

28Kunywa pombe wakati wake na kwa kiasi,
Kwaleta shangwe moyoni na furaha rohoni.
Usimkaripie jirani yako kwenye pombe,
Wala usimdharau anapofurahia karamu.
Usimwambie neno la kumwonya,
Wala usimsumbue kwa kumtaka alipe deni..


Kama wewe ni mkristo hiyo ni biblia inasema hivyo
Kitabu gani?
 
Mtu anayeolewa safari namuonaga kama limbukeni flan hivi!yaani pombe inakuendesha Hadi unashindwa kuicontroll
 
Mtu anayeolewa safari namuonaga kama limbukeni flan hivi!yaani pombe inakuendesha Hadi unashindwa kuicontroll
umesema kitu ya maana sana,
ulimbukeni wa pombe unawafedhehesha na kuwadhalilisha sana kwenye public...
 
Back
Top Bottom