David Harvey
JF-Expert Member
- Jul 17, 2014
- 2,894
- 6,020
Kwanini mnafata sheria ya wakatoliki kuoa mke mmoja?Ok....waprotentant hatuna Hilo kitabu,ila nilishawahi kukisoma nilikipenda pamoja na wamakabayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini mnafata sheria ya wakatoliki kuoa mke mmoja?Ok....waprotentant hatuna Hilo kitabu,ila nilishawahi kukisoma nilikipenda pamoja na wamakabayo
Aaah hapo Sasa umemkosea Chaka la kubishana,mi sibishanagi Kwa ajili ya mapokeo...Kwanini mnafata sheria ya wakatoliki kuoa mke mmoja?
dodo jangwani dahKipindi napiga dili za moro dar.Kuna siku nikachelewa kupanda abood nikapanda islam ilikua mida y asaa kumi na mbili na nusu jioni tumeoboka km dar tunafika mbezi kuna lijimama likapanda bonge la mtu kumbe limetoka kwenye sherehe na bado liko tungi na lina bapa ndogo linafyonza.mpaka nafika moro nimelinanawa sana tukachukua kitax pale tukaenda zetu msufini nikachukua guest pifa sana miti...
Hapana sista hatubishani.usiku mwemaAaah hapo Sasa umemkosea Chaka la kubishana,mi sibishanagi Kwa ajili ya mapokeo...
Watu tunalewa safarini lakini hauwezi kutambua kama tupo high.unaweza vipi kusafiri safari ya km 1200 ? Ukiona umesafiri safari ya hivyo bila kunywa kileo lazima upate dhambi ya makwazoumesema kitu ya maana sana,
ulimbukeni wa pombe unawafedhehesha na kuwadhalilisha sana kwenye public...
Nina nani alisema mlevi haruhusiwi kutibiwa akiwa amelewa? Au ndio zile stories ukinywa maziwa uko katika dozi,dozi inaharibika.?Sasa wanakutibu aje na uko na pombe? Ufariki?
Nadhani kama ilivyo ukiwa ktk dose/ matumizi ya dawa hairuhusiwi pombe, ndivyo itakavyo fanyika ukiwa na pombe
Kuna watu wasipolewa huwa hawawezi kuongea kingerezasina nia mbaya hata kudogo,
Napendaga sana kiingereza chao, hua ni amezingi sana, wakiwa full tank [emoji205]
Kabisa yaaniKuna watu wasipolewa huwa hawawezi kuongea kingereza
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Unaongelea quinine wakati haipo katka standard guidelines treatmentYes,
dawa ya mwanzo kabisa ya mgonjwa aliebainika kanywa pombe huwa ni dripu tu,
Sasa kwa mfano akipigwa sindano ya quinine na amekunywa pombe si atakufa chap, tunamzika na kumsahau?
ndio maana nasema ukipata ajali ukiwa umelewa unaweza ukashindwa kujiokoa na unaweza ukashindwa kujieleza matokeo yake wakakuchoma sindano au wakakupa dawa itakayokuangamiza kwasabb haisikilizani na pombe....
Pombe ni janga sana hasa kwa wale vichwa vyepesi na ogopa sana km una mke anatumia pombe kwa wingi lazima atakua anauza mechi sanadodo jangwani dah
Maisha ni zawadi kutoka kwa Mungu, lazima tutuinze na kuithamini zawadi hii muhimu kwetu sote. Tufurahie uhai na mema mengi ya Mungu alieyoyajaza katika ulimwengu huu.
Imeibuka kasumba kwa wanywaji pombe hasa vijana, mathalani, anasafiri kutoka mkoa moja kuelekea mkoa mwingine, kutumia vilevi hususani pombe.
Unakuta abiria huyo ama ana mzinga mkubwa wa Konyagi, K-vant au hivi vipombe flani vyenye flavor tofauti tofauti lakini kilevi ni kilekile, ambazo konyagi nao pia wameiga.
Baadhi yao wanakua wamejaza kwenye chupa za maji kukwepa kuonekana wanakunywa pombe, lakini wengine bila soni wanafakamia na michupa vilevile. Mnafika mwisho wa safari kijana kalewa chakari.
Sasa, shaka langu hapa ni kwamba ikitokea ajali, mtu huyu si, ni rahisi sana kupoteza maisha, kwasabb kupata ajali katika hali ya ulevi, hali ambayo inaweza kupelekea ashindwe kujiokoa mwenyewe panapostahili kujiokoa. Na mtu akishalewa akili yake inakua slow kumake decision, lakini pia anaweza akapitiwa usingizi fofofo ambao hata akiamshwa anaweza asiweze kuamka kabisa.
Lakini pia kwasababu pombe huchochea msukumo na mgandamizo wa damu kuwa wa kasi zaidi mwilini, mtumiaji pombe huyu akiumia anaweza kupoteza damu nyingi zaidi na hatimae akapoteza maisha pia.
Rai yangu kwa vijana na wanywa pombe safarini.
Kuweni wastahimilivu na wenye subra hadi mwisho wa safari ndipo kuzitafuta na kuzinywa vilivyo hizo pombe.
Pili, makondakta wa mabasi ambao pia miongoni mwa hutumia pombe wakiwa kazini, kuacha mara moja tabia hii isiyo yakiungwana, na kuwakemea abiria wanao tumia pombe ndani ya mabasi.
Mwisho ni kwa dereva bodaboda wote, ndugu zangu acheni izo mtaisha na kuwa walemavu wote. Kunywa pombe zako baada ya kazi, itakusaidia kuepuka ajali na ulemavu.
Ni kero na usumbufu kwa abiria wasiotumia aina hiyo ya kinywaji.
Asante.