Matumizi ya pombe safarini ni hatari kwa uhai wako mwenyewe

dodo jangwani dah
 
umesema kitu ya maana sana,
ulimbukeni wa pombe unawafedhehesha na kuwadhalilisha sana kwenye public...
Watu tunalewa safarini lakini hauwezi kutambua kama tupo high.unaweza vipi kusafiri safari ya km 1200 ? Ukiona umesafiri safari ya hivyo bila kunywa kileo lazima upate dhambi ya makwazo
 
Sasa wanakutibu aje na uko na pombe? Ufariki?
Nadhani kama ilivyo ukiwa ktk dose/ matumizi ya dawa hairuhusiwi pombe, ndivyo itakavyo fanyika ukiwa na pombe
Nina nani alisema mlevi haruhusiwi kutibiwa akiwa amelewa? Au ndio zile stories ukinywa maziwa uko katika dozi,dozi inaharibika.?
 
Unaongelea quinine wakati haipo katka standard guidelines treatment
Quinine uwe umelewa au haujalewa ,,,medical personnel akifanya mistake imekula kwako
 
Kuna siku nilikua niko tungi ndani ya basi natoka Arusha naenda dar nikamwambia dereva asimame nikojoe akagoma!
Nilichofanya nikachukua chupa kubwa ya maji ya Kilimanjaro nikaikojolea nikatupa dirishani!
Kwisha
 
I conquar with you.
 
Shida yenu mnasafiri bila tahadhari ,siwezi safiri bila kuruhusiwa na kibuyu ,kikiashiria damu sisafiri na ikiashiria weupe nasafiri


Safari inaazia nyumbani kwako ,sio muda wa departure
 
Kama starehe yako ni uji focus na uji.

Pombe ilikuepo na itadumu milele 🍸🖤
 
Mkuu wewe unapiga gambe au hautumii, maana wasiotumia huwa ni wanafiki sana kila siku kutusema na kutuombea mabaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…