Matumizi ya Proforma Invoice ni nini?

Matumizi ya Proforma Invoice ni nini?

Hata mie sikuyajua mapema kama wewe ndio maana nimecomment kuhusu tatizo la elimu yetu haswa kwenye basics za business management and financial literacy. Hivi unajua zamani walikuwa wanasoma Bookkeeping na ilikuwa compulsory ila akatokea mpuuzi mmoja akafuta. Hii nchi kuna wapumbavu wameiharibu mnoo.
Nilitaka nikushukie kama mwewe kwa ile comment yakp ya kwanza sikujua unamaanisha hiki mkuu.

Mambo mengi tu yaliyopo kazini mashuleni mnapigishwa msasa kijuujuu tu. Na mapya mengi unayakuta kazini bila kujiongeza ndo utaambiwa kilaza, shule ulisomea ujinga nk
 
Nilitaka nikushukie kama mwewe kwa ile comment yakp ya kwanza sikujua unamaanisha hiki mkuu.

Mambo mengi tu yaliyopo kazini mashuleni mnapigishwa msasa kijuujuu tu. Na mapya mengi unayakuta kazini bila kujiongeza ndo utaambiwa kilaza, shule ulisomea ujinga nk
Ndio hivyo Mkuu, elimu yetu ina shida kubwa sana kwenye ufundishwaji na application ya Kile tunachofundishwa kwenye maisha yetu ya kila siku. Usipo kuwa mtu wa kujiongeza basi siku zote utabaki nyuma.
Ila kinachisikitisha saivi vijana wamepata elimu ya bure (internet) lakini wanaitumia hovyo kwa mambo ya kijinga mitandaoni.
 
Ukiulizwa swali jibu swali si kutoa majibu marefu kama wanasiasa.

Proforma Invoice ni document kutoka kwa muuzaji kwenda kwa mnunuzi ikiwa na taarifa zifuatazo.

1. Aina ya bidhaa
2.Upatikanaji wa bidhaa
3.Idadi ya bidhaa
4.Bei ya bidhaa
Proforma Invoice ni tofauti na Invoice.Invoice ni kwaajili ya madai (demand or request for payment) while Proforma Invoice are commonly used as preminary invoice with QUOTATION.
Wewe sasa ndo umejibu swali. Hawa wengine wanazunguluka mpaka wanatuchanganya💪💪💪
 
Back
Top Bottom