uporo wa wali ndondo
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 3,455
- 2,240
yule wa Blue eti ndo mboga saba mwenyewe aseewhite supremacy imetula sana aisee,hata kichupa cha blue ft kiba,nashangaa kumuona yule mzungu ambaye ni wa kawaida sana,hana mvuto wa kuwashinda hata dada zetu wa hapahapa bongo.at least yule wa rich mavoko kwenye kichupa cha "pacha wangu" ana mvuto.
Sawa basi hata wanapokwenda Sauz kushoot si kuna madem weusi tena wazuri kweli kweli kwanini wasiwachague wale na wanachagua wazungu.?kuna baadhi wanakimbia soo
uki shoot na mademu wa bongo
wanasingizia umetoka nao
mfano diamond na yule dada irene wa kwetu ya rayvanny
ukitaja ogii na feki nawakumbuka TCRA hahaha ni shidaa aiseeCku hizi rangi nyeusi imekua hadimu asilimia kubwa ya dd ztu wamejchubua unfkr ukiambiwa uchague ogii n feki utachukua ipi
mkuu cha ajabu nini hapo huyo dem ni "made in BEIJING" full kuwaka kwenye kichupa #masogangetupakule#Huyo vixen ni mbaya au ni huo weupe.
Nimetoka kuangalia Video mpya ya Mr bluu "mboga saba" na nasikitika kusema kwamba sijaipenda sio kwamba nyimbo ni mbaya bali ni kwa haka katabia ka wasanii wa Bongo kuwaweka kwenye video Madem weupe(waarabu,wahindi,wazungu na wale wenye muonekano wa light skins). Hii inaonesha ni jinsi gani sisi watu weusi hatujikubali wenyewe na ndo mana sishangai kuona idadi ya wanawake wetu weusi wakijichubua ngozi zao.
Kila Msanii anataka ashoot na dem mweupe. Rejea video za Diamond, Alikiba,Ommy Dimpoz,Blue,Hamonaiza na wengine kibao. Hata hao wazungu wenyewd wanatushangaa kuona jinsi tunavyowanyenyekea. Mfano yule dem alioshuti "Bado" ya Hamonaiza ilitokea ajali kidogo basi dem akagoma, Wacha majamaa wampigie magoti kisa dem mweupe mpaka akakubali na dau wakapandishiwa.
ACHENI USHAMBA WASANII WA BONGO FLEVA
ukitaja ogii na feki nawakumbuka TCRA hahaha ni shidaa aiseeCku hizi rangi nyeusi imekua hadimu asilimia kubwa ya dd ztu wamejchubua unfkr ukiambiwa uchague ogii n feki utachukua ipi
kweli ni ushamba na Ulimbukeni tuuWasanii wa kibongo asilimia kubwa yao ni washamba, waonee huruma tu.
Wengine tunapenda ngozi nyeusi so wanatuboa sanaukitaja ogii na feki nawakumbuka TCRA hahaha ni shidaa aisee
Mfuatiie man fongo (hainaga ushemeji tunakulaga)Ninyi bado mnafuatilia bongo flava??
Bora muwe mnaangalia mchiriku kuliko huo uchafu
Lazma kafikishiwa ujumbe mana hata hiyo video tungeona wazungu tuWatu mnapenda ujiko kama Le Mutuz. Eti wamemfikishia ujumbe wako!
Itabidi nifanye hivo[emoji2][emoji2][emoji2] ungemshauri na mengine [emoji12]
bwahahahhahahahhahaaaKwa,kwa,kwa,kwa,kwa,kwa,kwa,kwa.