Matumizi ya Video Queens: Wasanii wa Bongo wanaboa

Hahahaahah nimekumbuka jamaa yangu mmoja alikuwa anampa makavu demu mmoja kajichubua balaa,alafu ni wakuringi sana mshikaji alimpa shit moja nikikumbuka uwa nacheka sana eti " uringia weupe wakati mwenzio nyani kauwekea matakoni" hahahhahaha .
 
Cku hizi rangi nyeusi imekua hadimu asilimia kubwa ya dd ztu wamejchubua unfkr ukiambiwa uchague ogii n feki utachukua ipi
 
kuna baadhi wanakimbia soo
uki shoot na mademu wa bongo
wanasingizia umetoka nao
mfano diamond na yule dada irene wa kwetu ya rayvanny
 
yule wa Blue eti ndo mboga saba mwenyewe asee
 
kuna baadhi wanakimbia soo
uki shoot na mademu wa bongo
wanasingizia umetoka nao
mfano diamond na yule dada irene wa kwetu ya rayvanny
Sawa basi hata wanapokwenda Sauz kushoot si kuna madem weusi tena wazuri kweli kweli kwanini wasiwachague wale na wanachagua wazungu.?
 
Cku hizi rangi nyeusi imekua hadimu asilimia kubwa ya dd ztu wamejchubua unfkr ukiambiwa uchague ogii n feki utachukua ipi
ukitaja ogii na feki nawakumbuka TCRA hahaha ni shidaa aisee
 
Huyo vixen ni mbaya au ni huo weupe.
mkuu cha ajabu nini hapo huyo dem ni "made in BEIJING" full kuwaka kwenye kichupa #masogangetupakule#
 


Wasanii wa kibongo asilimia kubwa yao ni washamba, waonee huruma tu.
 
Cku hizi rangi nyeusi imekua hadimu asilimia kubwa ya dd ztu wamejchubua unfkr ukiambiwa uchague ogii n feki utachukua ipi
ukitaja ogii na feki nawakumbuka TCRA hahaha ni shidaa aisee
 
Hata wanamuzik Black Americans video Queens wao wengi ni chotara wanaong'aa naona ni kasumba globally
 
Asalam aleikum.

Hivi majuzi niliandika makala kuhusu wasanii wa bongo kupenda kutumia mabinti weupe ama wazungu kwenye video zao: Wasanii wa Bongo wanaboa

Nahisi watu wa karibu wa Diamond walimfikishia ujumbe wangu na kuamua kujirekebisha.

Diamond amesema kama wewe ni binti mwenye muonekano wa kiafrika mtumie DM upate nafas ya kushiriki katika video hiyo.



Sasa naamini kuwa JamiiForums ni zaidi ya mtandao wa kijamii kwa maana wasanii na watu mbalimbali wanapita hapa na kusoma mawazo yetu.

Haya Nipigieni Makofi tafadhali..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…