Matunda mchanganyiko kwa afya yako

Ndizi, Papai, Tikiti, tango, embe, parachichi, chungwa! (depending na season mchanganyiko hu-vary!)
 
hii labda itanisaidia nipende papai. najichukia kwa kuchagua vyakula kama mtoto, manake sikuli papai na uji wa mahindi tuuu!
BAK jaribu kula papai lililochuruzikiwa radha ya mchuzi wa ndimu. Linapendeza sana kinywani!

teh teh teh. Unaweza kushinda njaa kwa kinyaa cha kuingia sehemu ya kula. acha mamii
kwi kwi kwiiiiii, bahati mbaya sijafika brazil wala india, sasa hata sipati picha kabisaaaaaa.....................
 
farkhina hapo sioni kiwi ha ha haaa! Nice matunda ni muhimu sana

Kiwi na cantaloupe walikosekana shoga ila huwa nawaweka nao pananogajeeee

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Ndizi, Papai, Tikiti, tango, embe, parachichi, chungwa! (depending na season mchanganyiko hu-vary!)

Jamani hili tango nalipenda sana kwenye salad alafu nkaskia lapunguza gesi tumboni ila nkila ndo kitumbo kinajaa gesi weee inauma hadi ninywe warm water

Cc mkwe wangu MziziMkavu

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Jamani hili tango nalipenda sana kwenye salad alafu nkaskia lapunguza gesi tumboni ila nkila ndo kitumbo kinajaa gesi weee inauma hadi ninywe warm water

Cc mkwe wangu MziziMkavu

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums

I guess it has the same effect on me. Sema mimi hu-assume ni kwa kuwa nimeshiba..lol!
 
Kwi kwi kwi kwi lol!!!!! Mapishi ya kisiku hizi hayo πŸ™‚πŸ™‚, ila niliwahi kula wali kwa mchuzi wa nyama halafu juu kukamuliwa machungwa aisee utamu wake wachaaa!!!!!

 
Kwi kwi kwi kwi lol!!!!! Mapishi ya kisiku hizi hayo πŸ™‚πŸ™‚, ila niliwahi kula wali kwa mchuzi wa nyama halafu juu kukamuliwa machungwa aisee utamu wake wachaaa!!!!!
nakuambia....... mapishi mengine naona kama ya kubuniwa tu........ yaani tunapikiwa mpaka tunakoma, na lazima mukule
 
Reactions: BAK
Hahahahaha lol!!!! inabidi kuzoea ladha mpya kinywani za 2014 πŸ™‚πŸ™‚

nakuambia....... mapishi mengine naona kama ya kubuniwa tu........ yaani tunapikiwa mpaka tunakoma, na lazima mukule
 
I guess it has the same effect on me. Sema mimi hu-assume ni kwa kuwa nimeshiba..lol!

Umeona eeeh basi hapo tumbo litaimba nyimbo zote nachukiajeem.......ukishakuja cucumber taarisha chai ya tangawizi usiweke majani ili utoe hiyo gesi

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
nakuambia....... mapishi mengine naona kama ya kubuniwa tu........ yaani tunapikiwa mpaka tunakoma, na lazima mukule

Vyakula vyengine vitamu sana vikichanganywa kuna wali flani wa kihindi unawekwa beef/chicken alafu zawekwa beans za aina 4,spenachi na vikorombwezo vyengine mtamu balaa

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…