MAKANGEMBUZI
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 2,670
- 7,655
Hamjui Mombo vizuri huyu, naona anabwabwaja baada ya kushiba kande na ulanziHizo ni hisia zako tu.
Sawa mheshimiwa CEO wa TISSHamjui Mombo vizuri huyu, naona anabwabwaja baada ya kushiba kande na ulanzi
Hamuna kitu dogo ccm wamefaili vibaya pamoja na tiss yao wanaenda kuanguka vibayaCEO mpya TISS hajapitisha hata week mbili tunaona haya tuliyaona.
Safi sana anaijua kazi yake na anaonekana ana uchungu na Taifa hili.
Rai yangu haya mambo yasiishie juu kwa juu wapigaji wote wa pesa za umma wawajibishwe.
Pia soma: Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
NB. Ila CCM wana matusi yao usishangae mbeleni huko wakarudi tena mzigoni kama ilivyokuwa kwa mkuu wa utekaji.
Unaakili sana; tatizo la Congo & Burundi tusipo wasaidia sisi kama Tz utakuja ku cost In long run.Tunatarajia ajenge TISS imara kuangalia fursa za kiuchumi. Tunapeleka SGR mpaka Burundi na Congo, yule muhuni aliyeshinda uchaguzi juzi kazi yake ni ku-destabilise Congo na Burundi, na akifanya hivyo, atakuwa anaathiri uwekezaji wetu wa matrilioni katika reli hiyo. We must have a strategic security partnership with Congo and Burundi kuhakikisha ziko salama katika mikono salama. Maana jamaa hachelewi kuanzisha vita sehemu tunayopitisha reli yetu.
and if possible, tutingishe mizizi ya huyo jamaa, in a long term plan.
Hivi vingine vya juzi ni kawaida tu ambavyo vinafanywa na mamlaka ya usalama wa serikali
Huyu muhuni mnamlea ninyi munawapa vyeo watu wake kwenye salekari yenu eti mtagain political popularityTunatarajia ajenge TISS imara kuangalia fursa za kiuchumi. Tunapeleka SGR mpaka Burundi na Congo, yule muhuni aliyeshinda uchaguzi juzi kazi yake ni ku-destabilise Congo na Burundi, na akifanya hivyo, atakuwa anaathiri uwekezaji wetu wa matrilioni katika reli hiyo. We must have a strategic security partnership with Congo and Burundi kuhakikisha ziko salama katika mikono salama. Maana jamaa hachelewi kuanzisha vita sehemu tunayopitisha reli yetu.
and if possible, tutingishe mizizi ya huyo jamaa, in a long term plan.
Hivi vingine vya juzi ni kawaida tu ambavyo vinafanywa na mamlaka ya usalama wa serikali
Wapo watu wake kila sehmu ndiyo maana CDF alitoa angalizo siku ile lakini akapuuzwa.Huyu muhuni mnamlea ninyi munawapa vyeo watu wake kwenye salekari yenu eti mtagain political popularity
CEO mpya TISS hajapitisha hata week mbili tunaona haya tuliyaona.
Safi sana anaijua kazi yake na anaonekana ana uchungu na Taifa hili.
Rai yangu haya mambo yasiishie juu kwa juu wapigaji wote wa pesa za umma wawajibishwe.
Pia soma: Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
NB. Ila CCM wana matusi yao usishangae mbeleni huko wakarudi tena mzigoni kama ilivyokuwa kwa mkuu wa utekaji.
Wapo watu wake kila sehmu ndiyo maana CDF alitoa angalizo siku ile lakini akapuuzwa.
Absolutely true.Wapo watu wake kila sehmu ndiyo maana CDF alitoa angalizo siku ile lakini akapuuzwa.
Anayafanyie kazi kivipi?Afanyie kqzi magenge ya utekaji yanayotishia usalama wa watanzania.