Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
-
- #141
Achaga masikhara kwenye mambo ya msingi basi. Kama Mwenyekiti wa Kamati ya Usalama wa SADC kamfanya nini Kagame zaidi ya kumshindwa na kuishia kumlamba miguu?Tuna Rais mwanamama ni mfano wa Dunia wewe unaleta stori za hao vibaraka wa diaspora ππ
Wewe ulitaka amfanyaje? Amemlamba miguu kiaje? M23 wakishika Nchi Kuna hasara πΉπΏ tutaipata?Achaga masikhara kwenye mambo ya msingi basi. Kama Mwenyekiti wa Kamati ya Usalama wa SADC kamfanya nini Kagame zaidi ya kumshindwa na kuishia kumlamba miguu?
Kwa hiyo Tanzania hatujapoteza wanajeshi wetu Congo?Wewe ulitaka amfanyaje? Amemlamba miguu kiaje? M23 wakishika Nchi Kuna hasara πΉπΏ tutaipata?
Mkuu, na wale 19 vipi! wanajitambua?Wanawake wanaojitambua nchi hii wapo CHADEMA.
Wanawake wanaojitambua nchi hii wapo CHADEMA.
Tumepoteza Kwa sababu za kiherehere,tungewaacha M23 hao wangepotea?Kwa hiyo Tanzania hatujapoteza wanajeshi wetu Congo?
Au maisha ya Wanajeshi wetu hayamuumi kama Amiri Jeshi Mkuu?
Ni kweli wakati nipo Germany kuna mzee alikuja masikan akawa ananiambia kuwa amewekeza sana na kuisaidia rwanda kwenye solar industry sana na ndio maana Rwanda inapiga hatua hukoKagame ndo imeisha hiyo mzee. It's just a matter of time.
Ile nchi inaendeshwa kwa sehemu kubwa na Foreign Aid kutoka kwenye mataifa ambayo ndo yamemuwekea vikwazo so hatokuwa na hela.
Pili endapo SADC wakipeleka vikosi zaidi na kutangaza operesheni ya kumuondoa na vikosi vyake Congo huu ndo utakuwa mwisho rasmi wa Kagame.
It's a matter of time. Tulia uone.
Kwani wale wapo CHADEMA?Mkuu, na wale 19 vipi! wanajitambua?
Mama bomb kabisa,yaani anamuogopa Kagame ile mbaya,haya mambo alikuwa anayaweza Membe tuAchaga masikhara kwenye mambo ya msingi basi. Kama Mwenyekiti wa Kamati ya Usalama wa SADC kamfanya nini Kagame zaidi ya kumshindwa na kuishia kumlamba miguu?
Safi kabisa kwa kukiri. Hoja hapa ni tumepoteza wanajeshi wetu ambao wameuwawa na M23( Jeshi la Rwanda).Tumepoteza Kwa sababu za kiherehere,tungewaacha M23 hao wangepotea?
Hatua gani?Safi kabisa kwa kukiri. Hoja hapa ni tumepoteza wanajeshi wetu ambao wameuwawa na M23( Jeshi la Rwanda).
Rais wetu badala ya kuchukua hatua anaendelea kumchekea chekea Kagame. Ajifunze kwa hawa Wanawake wenzake wanavyodeal na Kagame na Rwanda yake.
Soma uzi. Usikimbiliege ku comment bila kusoma.Hatua gani?
Yaani kabisa mtu anamtaja Samia kwenye masuala yanayohusu vita tena ambayo iko complicated kama hii ya M23 VS DRC serious? Atatoa msaada gani sasa huyo bibi wa kizanzibar ambaye anaonekana ni mweupe kabisa kwenye ulingo wa kivita maana hata teuzi za mawaziri wake tu wa ulinzi huwa ni vituko?Achaga masikhara kwenye mambo ya msingi basi. Kama Mwenyekiti wa Kamati ya Usalama wa SADC kamfanya nini Kagame zaidi ya kumshindwa na kuishia kumlamba miguu?
Kwa Tanzania ni ngumu kwasababu viongozi wetu ni wabinafsi hadi hapo Jamii mafuvu yatakapo rudishiwa akiliCongo DRC ikiwa kwenye hatihati ya kutekwa na Rwanda na Uganda, Wanawake wawili Diaspora wanaibuka na kuisadia nchi yao kuishawishi Jumuiya ya Kimataifa kuchukua hatua stahiki dhidi ya Rwanda.
Sote tunafahamu namna Kagame alivyowekeza katika suala la Uhusiano wa Kimataifa.
Sote tunafahamu namna Kagame alivyofanikiwa kutengeneza picha chanya Kimataifa kuhusu nchi yake.
Kagame alifanya hayo kwa makusudi huku akiendelea kunufaika na kutotulia kwa Congo Mashariki.
Kazi kubwa iliyofanywa na Mawaziri Wawili wa Congo ambao ni wana Diaspora, Judith Suminwa Tuluka (Waziri Mkuu wa Congo) na Therese Kayikwamba Wagner ( Waziri wa Mambo ya Nje) imefanikiwa kumu outsmart Kagame na kumfanya awe uchi kwenye jumuiya ya Kimataifa hadi kufikia kuwekewa vikwazo na Mataifa ya Marekani, Canada, Uingereza, Ubelgiji na Ujerumani.
Mawaziri hawa kwa nyakati tofauti waliweza kutumia uzoefu wao kimataifa kuushawishi ulimwengu kuamini kuwa shida ya Congo Mashariki ni Kagame na sio siasa za ndani za Congo DRC.
Kwenye hili, Tanzania tuna la kujifunza sana hasa namna ya kuwatumia Diaspora ambao kwa nyakati tofauti wamekuwa branded kuwa sio Wazalendo.
Kwenye hili tumejifunza kuwa Diaspora wanaweza kuwa Wazalendo kwa kulipigania Taifa kuliko watu waliopo ndani. Mfano Congo Jeshi linakimbia na kuwaachia Rwanda /M23 maeneo wakati hawa mawaziri Diaspora wanapambana Rwanda awekewe vikwazo na wanafanikiwa.
Tanzania tujifunze namna ya kuwatumia Diaspora kwa Congo DRC.
Picha:
Waziri Mkuu wa Congo DRC Bi Judith Suminwa Tuluka na Waziri wa Mambo ya Nje wa Congo DRC Therese Kayikwamba Wagner!
View attachment 3264273View attachment 3264274
Hilo chawa halina kitu chochote kichwani zaidi ya kusifia sifia tu ujinga na upuuzi unaofanywa na serikali ya bibi tozo.Kwa hiyo Tanzania hatujapoteza wanajeshi wetu Congo?
Au maisha ya Wanajeshi wetu hayamuumi kama Amiri Jeshi Mkuu?