Matundu 19 ya Risasi Katika Gari ya Tundu Lissu.. Hao wahalifu hawana mafunzo ya kitaalamu ya silaha!

Matundu 19 ya Risasi Katika Gari ya Tundu Lissu.. Hao wahalifu hawana mafunzo ya kitaalamu ya silaha!

Wewe huelewi, hayo matundu ukiyaangalia yalipigwa kwa mpangilio maalum,

Yaani mpigaji alikua akipiga pale ambako anadhani ndio mwili uko,
Kuanzia kichwani, shingoni, begani, kifuani, tumboni, kiunoni, pajani, miguuni, na kwenye tairi ili gari ishindwe kwenda,

Kupona kwa Lissu ni Mungu tu yuko pamoja nae
Kwakweli kupona kwa lisu Mungu yupo pamoja naye. Mpigaji alikua anajua anachofanya na sio mbahatishaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikua naongea na mtu ofisini nikasema there is no way mtu aliyepiga risasi hizo ni pro
1.Kwa mujibu wa taarifa za awali ni kuwa gari ilikuwa inawafuata sijadrag ni aina gani ya gari ila mtu professional asingesubiri lissu atoke kwenye gari angepiga sababu anajua upande anaokaa ingetosha kupiga mapema bila kumsubiri ajiandae
2.Unless niambiwe walikuwa kwenye gari ndogo lakini haimake sense out of 28 bullets hakuna iliyolenga pivot area (maeneo muhimu kwa ajili ya kuua)
Kwa mtazamo wangu hoja hii ni sababu tukianza jadili je tukisema wauwaji ni serikali ni kweli ina maana serikali haina watu professional Mi siamini
Tuliona matukio ya kibiti ambayo yalikuwa allerged kufanywa na ex soldier yalikuwa very professional rejea tukio la kuvamiwa kwa police bank nalo lilitajwa kufanywa na ex soldiers lilikuwa professional sembuse tukio la muhimu kama hili
Kuna theory mbili zinaweza kuja either ni waliotumwa na mtu binafsi
2.Kama serikali ilitaka kutoa ujumbe flani tu sio kumuua
3.lakini hon lissu amewahi sema anafuatiliwa je ni kina nani wamefatilia Ile gari iliyokuwa inamfatilia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama tutakumbuka siku kadhaa zilizopita jeshi la polisi kanda maalum ya Dar es Salaam lilipiga marufuku kuweka 'tinted' kwenye vioo vyote vya gari. Wengi tulitii agizo hilo kutokana na kuepuka faini zinazotozwa barabarani.

Sasa kwa tukio la jana kilichosababisha Tundu Lissu kupona pona na risasi ni tinted iliyowekwa kwenye kioo chake ambayo ilifanya mshambuliaji kushindwa kulenga shabaha na kubaki kufyatua risasi hovyo hovyo. 'Tnted' bado tunaihitaji hasa kwa wakosoaji tusio na soni kwenye kukosoa! 'Tinted' imetumia nafasi yake kuokoa uhai.Kuna wakati nilikuwa namuona Tundu Lissu akiwa kwenye gari lisilo na 'tinted' nafurahi kuwa jana alitumia gari lenye 'tinted' lililompa wakati mgumu mshambuliaji!

Tuendelee kumuombea Tundu Lissu!
 
Kama tutakumbuka siku kadhaa zilizopita jeshi la polisi kanda maalum ya Dar es Salaam lilipiga marufuku kuweka 'tinted' kwenye vioo vyote vya gari. Wengi tulitii agizo hilo kutokana na kuepuka faini zinazotozwa barabarani.

Sasa kwa tukio la jana kilichosababisha Tundu Lissu kupona pona na risasi ni tinted iliyowekwa kwenye kioo chake ambayo ilifanya mshambuliaji kushindwa kulenga shabaha na kubaki kufyatua risasi hovyo hovyo. 'Tnted' bado tunaihitaji hasa kwa wakosoaji tusio na soni kwenye kukosoa! 'Tinted' imetumia nafasi yake kuokoa uhai.Kuna wakati nilikuwa namuona Tundu Lissu akiwa kwenye gari lisilo na 'tinted' nafurahi kuwa jana alitumia gari lenye 'tinted' lililompa wakati mgumu mshambuliaji!

Tuendelee kumuombea Tundu Lissu!
Ulikuwa mpango wao wa kwanza ili wasipate shida kum shoot.
 
Nadhani pia hakuvaa mkanda ikawa rahisi kujitoa kule mbele aidha kurukia nyuma...ama kulaza siti kwa haraka sana. Mungu amsaidie, tinted zingebaki kwa baadhi ya viongozi ambao wanaonekana ni influential sana....mfano akina makonda nk
 
Niaminini mimi...kwa tukio la kumkosa Lissu Jana...polisi watatia mkazo zaidi kutoa tinted kwa gari zote..ili siku nyingine wasifeli ktk mauaji yao
 
Aliyekuja na idea ya tinted si ni bashite. Zero hua hazijifichi.
Wangeweza kumuona vizuri Lissu yawezekana sasa hivi tungekua tayari tuko kwenye maombolezo. Tinted ni security moja kubwa sana.
 
Back
Top Bottom