Matundu 19 ya Risasi Katika Gari ya Tundu Lissu.. Hao wahalifu hawana mafunzo ya kitaalamu ya silaha!

halafu wakamkosa Lissu makusudi tu, na hawakuwa na lengo la kumuua?
Kama una lengo la kumuua mtu aliye kwenye gari ambaye hana silaha, unaendesha gari lako mpaka karibu naye na kumpiga risasi 20 kupitia dirishani kutoka karibu katika namna ambayo huwezi kumkosa.

Risasi nyingi kupigwa mlangoni zinaashiria kilichotakiwa hasa ni kumjeruhi miguuni na kumpa ulemavu/ tishio.

Watu wanaotaka kuua wanalenga kichwa na kifua, hawalengi ilipo miguu.

Watu wanaotaka kuua mtu ambaye hana ulinzi kama huyo wanapiga risasi point blank, hawapigi risasi za rasharasha kutoka mbali.
 
Tatizo ni kwamba, hata kama serikali haihusiki, kauli za kijinga za viongozi wa serikali, hususan rais Magufuli, zinawafanya watu wengi waone kama serikali inahusika.

Hilo tu ni tatizo.

Hata kama serikali haihusiki.
 
Watu wasiojulikana ndio wimbo wao

Wamelipua IMMA advocates hamna chochote kilichofanyika

Tena aliyemtolea bastola Nape alionekana hadharani Hamna kilichofanyika

Yani kupitia hili la Lissu wanaenda kuaibika vibaya

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Hao si wahalifu ni magaidi .Au ugaidi ni kitu gani??
 

Hao si watu wasiojulikana hao ni magaidi. Wasiwatese wale masheikh bure Kwa kutoa maoni Yao kuhusu muungano
 
Wewe bure kabisa ,haya maneno ungeongelea mbele ya haraiki ya watu ungegeuzwa jina!

So Watu kama nyie ndo wauaji ehhh Afu unataka kuongoza Nchi bila Demokrasia ya mawazo. Ana akili sana huyo jamaa kuliko wewe mtihani katunga mwingine. Majibu unayo wewe na unataka usahihishe mwenyewe.
 
Zetas kule Mexico wengi ni ex special forces, wakishambulia kwa dhamira ya kuua wanahakikisha nyumba au gari inabaki na matobo ya risasi za kutosha... Na mara nyingine wanatumia hadi RPGs kabisa...so hoja ya kiasi cha risasi na professionalism ya wapigaji ni muflisi kabisa....
 
Hujui hata risas ni nini ndio maana unadhani utaona tundu moja
 
So Watu kama nyie ndo wauaji ehhh Afu unataka kuongoza Nchi bila Demokrasia ya mawazo. Ana akili sana huyo jamaa kuliko wewe mtihani katunga mwingine. Majibu unayo wewe na unataka usahihishe mwenyewe.
sijamaanisha hivyo no,nimejaribu kuonyosha kuwa kwa maneno yake yasiyo na utu anastahili kutendewa bila kujali utu wake.
 
kama bashite na baba yake ndio walikuwa maoperation manager ungetegemea zoezi lifanyike kwa ustadi ni kwa sababu mission leader wana vvichwa vya samaki unataka kumuuwa mtu ambaye mumejiapiza mbele za kamera kwamba lazima alazwe lazima anyamazishwe lazima apotezwe si ndio maana Mungu akawafunga warusha risasi mikono wakawa hawajuwi walenge wapi laana indani ya vizazi vya baba bashite
 
Wawe wajuzi wasilaja wasiwe pia yote tunamwachia MUNGU kwasababu yeye aliwaona nayeye ndiye atakaye wahukumu wao na aliye watuma, kwetu ni MAOMBI tu kumwombea apone haraka ili aendelee na mapambano AMINA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umesikika na sala zako zimesikika.
 
Ilikua plan b baada ya plan A kushndwa kutokushuka kwenye gali ..planB nikupga sehem aliyo kaa .......fikilia ilo acha siasa
 
Baada ya kuchemka kumteka wakaamua wampoteze

da MUNGU WA DAUDI na MUNGU WA YOHANA wanaodai ni mbatizaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…