Matundu 19 ya Risasi Katika Gari ya Tundu Lissu.. Hao wahalifu hawana mafunzo ya kitaalamu ya silaha!

Matundu 19 ya Risasi Katika Gari ya Tundu Lissu.. Hao wahalifu hawana mafunzo ya kitaalamu ya silaha!

Naomba aliekuwa ametoa agizo la kutoa tinted afuatiliwe pengne alikuwa ameshaona gari la Mh kuwa akiwa ndan haonekan jinsi ya kushutiwa pengine akatoa tamko kimkoa likimlenga mtu mmoja tu TLS Prezidaa.
Huwezi kuhusisha agizo na tukio hili.
 
Nimejiuliza sana inawezekana vipi gari ishambuliwe kwa risasi zaidi ya 20 dereva asijeruhiwe hata kidogo na TL ajeruhiwe na risasi chache?
Baada ya kufikiria sana nimegundua haya kwa hisia zangu
1.vioo tinted vimesaidia sana(utaelewa ukisoma namba mbili)
2.dereva kama ana uzoefu na ulinzi alimwambia TL alaze kiti na asishuke kwenye gari. Baada ya kulaza kiti kichwa chake kilikuwa usawa wa mlango wa nyuma. Ndio maana kuna risasi zilipigwa kwenye kioo usawa wa kichwa hazikumpata,zilizompata ni miguuni ambapo ukilaza kiti miguu bado inabaki mbele, na za tumboni kwasababu hata ukilaza na kurudisha kiti nyuma kama una kitambi tumbo linabaki mbele
3.dereva alishuka na kuinama au kusimama usawa wa mlango wa nyuma,hapa tena tinted ilisaidia kumficha.
Nawaza hapa lile agizo la kuondoa tinted lingetekelezwa sijui ingekuwaje!
Hizi ni hisia tu waliokuwepo ndio wanajua nini hasa kilitokea na bado sijapata jibu kwanini dereva aliamua kwenda nyumbani wakati amehisi anafuatiliwa.
Upo sahihi
 
Nimejiuliza sana inawezekana vipi gari ishambuliwe kwa risasi zaidi ya 20 dereva asijeruhiwe hata kidogo na TL ajeruhiwe na risasi chache?
Baada ya kufikiria sana nimegundua haya kwa hisia zangu
1.vioo tinted vimesaidia sana(utaelewa ukisoma namba mbili)
2.dereva kama ana uzoefu na ulinzi alimwambia TL alaze kiti na asishuke kwenye gari. Baada ya kulaza kiti kichwa chake kilikuwa usawa wa mlango wa nyuma. Ndio maana kuna risasi zilipigwa kwenye kioo usawa wa kichwa hazikumpata,zilizompata ni miguuni ambapo ukilaza kiti miguu bado inabaki mbele, na za tumboni kwasababu hata ukilaza na kurudisha kiti nyuma kama una kitambi tumbo linabaki mbele
3.dereva alishuka na kuinama au kusimama usawa wa mlango wa nyuma,hapa tena tinted ilisaidia kumficha.
Nawaza hapa lile agizo la kuondoa tinted lingetekelezwa sijui ingekuwaje!
Hizi ni hisia tu waliokuwepo ndio wanajua nini hasa kilitokea na bado sijapata jibu kwanini dereva aliamua kwenda nyumbani wakati amehisi anafuatiliwa.
 
Nimejaribu kuhesabu kitaamu risasi zilizopigwa ktk gari ya Tundu Lissu yanafika 20 kwenye kioo,kitasa na chini kidogo mpaka ktk tairi ya mbele kushoto.

Kwa jinsi zilivyopigwa inaonekana hao wahalifu sio watu waliojifunza matumizi ya silaha maana zimepigwa rondom bila mpangilio.

Wengi waliojifunza matumizi ya silaha huwa wanapiga kwa target na mpangilio maalumu.

Nakumbuka niliwahi kuanzia Uzi humu kama wito wa kukusanya silaha haramu toka kwa wanainchi kama Lyatonga Mrema alivyofanya.
Hilo halitaki tochi,wale wa Kibiti walikuwa wanagonga moja tu na haiachi mtu,.Hapa mawili tu au hawana ujuzi au hawakutaka kuua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwa mujibu wa kichwa cha habari chako,watu wengi wamekuwa wakiinyoshea dola kama ndo muhusika mkuu,je kwa nguvu iliyonayo dola ukilinganisha utendaji huo wa tukio huoni kana kwamba wanasingiziwa..? na hufikiri uenda ikawa ni mtu/watu binafsi ndio wameamua kufanya hivyo ndio maana wakashindwa kuchagua watu makini..?
 
Unajuaje kama ni watu wenye mafunzo lakini hawakutaka kuua na wala hawakutaka kujulikana kwamba ni watu wenye mafunzo, hivyo wakapiga makusudi kama watu wasio na mafunzo?

Mtu kakaa kwenye gari , utampigaje kwenye tumbo na miguuni na kukosa kichwa kama umetaka kumuua?

Vipi kama hawakutaka kumuua, walitaka kuweka hofu tu?

halafu wakamkosa Lissu makusudi tu, na hawakuwa na lengo la kumuua?
 
Nimejaribu kuhesabu kitaamu risasi zilizopigwa ktk gari ya Tundu Lissu yanafika 20 kwenye kioo,kitasa na chini kidogo mpaka ktk tairi ya mbele kushoto.

Kwa jinsi zilivyopigwa inaonekana hao wahalifu sio watu waliojifunza matumizi ya silaha maana zimepigwa rondom bila mpangilio.

Wengi waliojifunza matumizi ya silaha huwa wanapiga kwa target na mpangilio maalumu.

Nakumbuka niliwahi kuanzia Uzi humu kama wito wa kukusanya silaha haramu toka kwa wanainchi kama Lyatonga Mrema alivyofanya.

Hoja yako ni nini hasa? Kwamba hawa wamepiga zaidi ya 20 bila ya mpangilio? Kwani mpangilio kwa mawazo yako ni upi?

Wa Kibiti walikuwa wakipiga moja moja tu na kuua. Kwa hoja yako basi yupi alikuwa kajifunza vyema matumizi ya silaha? Wa Kibiti au wa Lissu?

NI wazi kuwa kulikuwa hakuna nia ya kumwua mh. Lissu bali kumtia adabu na kumnyamazisha kama wale waliotolewa kucha.

Haiyumkiniki mtoa kucha wa Ulimboka, Mwenye pililipili wa Kubenea, Mtekaji wa Roma Mkatoliki, Mtishaji wa Nape na hawa wa Lissu ni baba mmoja na mama mmoja. Kujaribu kuwatenganisha hao kwa hoja nyepesi nyepesi kama tunazozishuhudia ni kujaribu kutohusianisha Malaria na Mbu -- asema mh. Lema.
 
Hawakuwa makini kwenye kazi yao tu kwanza wasingeifata gari ya TL kwa nyuma wangetumia van wakaibandika sticker za dhl wangemsubiri ashuke kwenye gari lake bang! Wale washkaji walikuwa ni "trigger happy" tu

Hats Mimi nimeshangaa. Professional s lazima kungekua na team mbili tofauti. Ya kufwatilia na ya kumaliza mchezo. Ila hawa walikua so "amateur" kwakweli
 
Back
Top Bottom