Matunduizi's Journal: mambo mbalimbali ninayojifunza kila siku kutoka katika vyanzo mtambuka

Matunduizi's Journal: mambo mbalimbali ninayojifunza kila siku kutoka katika vyanzo mtambuka

Kila mtu unayekutana naye anamaana, anastori yake nzuri ungependa kuisikia na anasomo flani ambalo litakufaa kama ukijifunza''
Heshimu watu wote
 
Sio kila Muda unafaa kusimama na kupambana, Tambua muda wa Kupambana na Muda wa Kukimbia mapambano.
 
Nenda kwa Mungu kwa njia ya sala hata kama hauna ajenda ya maana iliyochambuliwa kwa Ustadi. Bado utapata majibu kutoka kwa Mungu wetu mwenye huruma
 
Nchi ya Swiden haijui Historia yake kuanzaia karne ya 12 kurudi nyuma. Na hawana hata kabrasha moja linalohusu matukio ya huko. Hivyo hawajui hata Ufalme wa nchi hiyo ulianzaje anzaje.

Vilaza ni wengi.
Kama sijasahau inasemekana 70% ya historia ya dunia Na mwanadamu haikuandikwa
 
Kama sijasahau inasemekana 70% ya historia ya dunia Na mwanadamu haikuandikwa
KWeli mkuu ndio sababu kubwa ya kuwepo mambo mengi fake ambayo yanakuwa BACKDATED ili kuonekana ya Kale.Huo ni ukweli mkubwa sana mkuu, tukiukubali akili inakuwa shwarii.
 
JF mijadala ya matukio inaweza kuchukua page hata elfu moja, ile ya mawazo fikrishishi ikijitahidi coment moja {Ngoja niwahi siti}
 
Even poor, the young who is industrious and economical can save a little for the course of God and Charity
 
Kuwafundisha watoto wako wadogo kumtolea Mungu sadaka na Kutoa msaada kwa wahitaji ni elimu bora kabisa mtoto anayoweza kuipata nyumbani kwao
 
What you eat determine how well you can perform in every sphere of your life.

Do not under estimate the power of NUTRITION IN YOUR LIFE
 
Having the habit of counting Your Blessings reduces fear
 
Forgive all who have discouraged you and let go the experience that have discouraged you
 
Make small and steady improvement every single day rather than a massive one that will set you up to fail
 
Kuna mambo mengi yako ndani ya Uwezo wako huyafanyi kwa sababu ya Uoga
 
Kwa nini ukiumwa na MBU unaimba kaupele.
Mbu anapkuuma, Huwa anakutemea mate yake. Mate yale huleta mzio au aleji kwenye ngozi yako na kusababisha kuwashwa na kupata kauvimbe.

Maralia ni hatari kwa afya yako na familia yako.
 
Baba na Mama wanabeba dira ya Familia.MMoja wapo anapoamua kuchukua mchepuko anakuwa ameamua kuipotezea mwelekeo familia na anapaswa kutambua atajibbu siku ya mwisho ya Hkumu juu ya Kundi ambalo amepewa alilee.
 
Kujitambua kunaleta hali ya Kuwajibika. Kuwajibika kunamfanya mtu aone haja ya Kuwahudumia wazazi wake.
Mtoto kwa mzazi hazeeki.
 
Hata mzazi wako akukosee kubwa kiasi gani, Hatua kubwa na ya mwisho unayopaswa kuichukua ni kumvumilia.
 
Maisha ni nini?
Maisha ni Kuishi.
na Kuishi ni kuchagua.
Chaguzi ziko mbili duniani Kuchagua mema au mabaya.
mpira uko mikononi mwako kuchagua jema au baya katika kuwa kwako hai.
 
Usijichukie, usijifananishe na watu na kujiona haufai. Wewe ni wa thamani mbele ya Mungu..

"Nitakushukuru kwa kuwa nimeumbwa kwa jinsi ya ajabu na ya kutisha. Matendo yako ni ya ajabu sana na nafsi yangu yajua sana"
Zaburi 139:14
 
Hatua ya kwanza kwa mwanadamu kujitambua ni kutambua kuwa umeumbwa na Mungu na unawajibika kwake kwanza kisha kwa wanadamu wenzako.
 
Back
Top Bottom