matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
- Thread starter
- #61
Kijana anapaswa kujifunza kuwahudumia na kwasaidia wazazi wake tangu akiwa nyumbani kwao. Kuoa au kuolewa sio ukomo wa kutoa msaada kwa wazazi. Wasaidie kila uwezo unaporuhusu hadi wanaenda kaburini.