Matunguli au uchawi uliocha ofisini na mtangulizi wako unautoaje kuitakasa ofisi?

Matunguli au uchawi uliocha ofisini na mtangulizi wako unautoaje kuitakasa ofisi?

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2019
Posts
762
Reaction score
6,984
Kuna watu wanapokea ofisi binafsi au ya umma kutoka mikononi mwa watu waliokuwa wanaamini ushirikina na ambao walikuwa wanapeleka wachawi na waaguzi kufanyia ibada zao ofisini. Ofisi kama hizi kiimani inaaminika hata Mwenye ofisi akiondok aidha kwa kuamishwa, kustaafu au kufa mizimu ile ubaki ofisini.

Kwa wataalam wa mambo haya tusaidieni, Ni njia gani utumika kuosafisha ofisi na kuondoa imani hizi za kishirikina ili iwe sehemu sahihi kuishi? Kumbuka kwa mazingira ya Utumishi wa Umma ujengi ofisi yako wala huna mamlaka yakubadili chumba Cha ofisi utakaa kwenye ofisi ya mtangulizi wako. Nini kifanyike? Naamini wapo wengi wamekwama kufanya kazi kwa amani baada yakukuta uchafu wakutosha kwenye ofisi mpya.

Hasa tutirieke hapa ili wakurugenzi ,wakuu wa Mikoa, ikulu na maeneo mengine watu watumie mbinu mtakazotoa kuhama hotelini n kwenda kwenye nyumba za serikali, kuingia ofiaini nk.

Nakumbuka Kuna RC Mwanza aligoma kukaa nyumba ya serikali akawa anaishi Malaika beach Resort akisubiri ukarabati kumbe anakwepa miundombinu ya mtangulizi wake
 
Mimi si muumini wa masuala ya shirki ila hutumia utaratibu ambao nimejiwekea na nipo kazini hapa Dodoma mwaka wa tatu sasa tokea nirudi Tanzania kutoka huko duniani.😉

Baada ya kuapishwa kuna kale kawiki ka kujiandaa.

Hivyo hiyo ni fursa ya kutuma wajumbe wakaandae ofisi yako mpya.

Wajumbe wataandaa masuala kama usafi na kadhalika.

Halafu, meza, kabati (filing cabinet) na kiti cha kukalia waweza kusema utaingia navyo vipya.

Computer system huwezi kuibadili ila waweza kubadilisha Monitor na Keyboard na mouse.

Bila kusahau kitasa kuweka kipya.

Halafu watafuta ubani na shehe wa kukufanyia dua kwa mimi na familia. kisha namwachia Mungu.

Dunia imebadilika sana watakiwa kuwa makini sana.
 
Hahaha hahaha hahaha ngoja nicheke kwanza .
Wasomi wengi wanakwambia hawaamini katika uchawi lakini nakuhakikishia hakuna watu wanafanya mambo ya kichawi Kama wanaokalia kiti alooo acha kabisa.
Mshana Jr
Wafahamu kama mimi na kukaa kwangu kote nje ya nchi katika nchi mbalimbali sijaweza kusikia uchawi upo.

Ila kwa waafrika hio kitu ipo na wao waiendeleza kule na wengine wana maisha duni.

Utasikia mtu kazuka Gambia, Nigeria au Mali kwenda kuchukua "Booster".

Nilikuwa nawaza sana na nikakumbuka ule msemo usemao "uchawi hauvuki bahari",

Wazungu wapiga kazi pesa yaingia na kila mtu anaridhika na alicho nacho.

Lakini, masikini wapo, walo na matatizo mbalimbali wapo na wenye shida zingine wapo.

Ila uchawi wao ni mipango bora ya kusaidiana wao kwa wao kwa masuala kama food bank, charity shops, na asasi nyingi tu ambazo hupewa fedha na serikali zao kuwasaidia wale walo maskini.
 
Wafahamu kama mimi na kukaa kwangu kote nje ya nchi katika nchi mbalimbali sijaweza kusikia uchawi upo.

Ila kwa waafrika hio kitu ipo na wao waiendeleza kule na wengine wana maisha duni.

Utasikia mtu kazuka Gambia, Nigeria au Mali kwenda kuchukua "Booster".

Nilikuwa nawaza sana na nikakumbuka ule msemo usemao "uchawi hauvuki bahari",

Wazungu wapiga kazi pesa yaingia na kila mtu anaridhika na alicho nacho.

Lakini, masikini wapo, walo na matatizo mbalimbali wapo na wenye shida zingine wapo.

Ila uchawi wao ni mipango bora ya kusaidiana wao kwa wao kwa masuala kama food bank, charity shops, na asasi nyingi tu ambazo hupewa fedha na serikali zao kuwasaidia wale walo maskini.
Sisi na wazungu tumetofautiana pakubwa mno.
Sisi chuki/hasadi hatutaki mwenzetu aendelee unategemea nini Kama Roho mbaya ndo result ya uchawi!

Mtu akikalia kiti anakwambia vijana wanasoma ngoja nkafunge yaani anabaki kukalia kiti yeye tu ukionekana umemzidi elimu na umekaa kimapinduzi anakimbilia kukufanya madudu.

Relax utakuja kumbana nayo.
 
Kuna watu wanapokea ofisi binafsi au ya umma kutoka mikononi mwa watu waliokuwa wanaamini ushirikina na ambao walikuwa wanapeleka wachawi na waaguzi kufanyia ibada zao ofisini. Ofisi kama hizi kiimani inaaminika hata Mwenye ofisi akiondok aidha kwa kuamishwa, kustaafu au kufa mizimu ile ubaki ofisini.

Kwa wataalam wa mambo haya tusaidieni, Ni njia gani utumika kuosafisha ofisi na kuondoa imani hizi za kishirikina ili iwe sehemu sahihi kuishi? Kumbuka kwa mazingira ya Utumishi wa Umma ujengi ofisi yako wala huna mamlaka yakubadili chumba Cha ofisi utakaa kwenye ofisi ya mtangulizi wako. Nini kifanyike? Naamini wapo wengi wamekwama kufanya kazi kwa amani baada yakukuta uchafu wakutosha kwenye ofisi mpya.

Hasa tutirieke hapa ili wakurugenzi ,wakuu wa Mikoa, ikulu na maeneo mengine watu watumie mbinu mtakazotoa kuhama hotelini n kwenda kwenye nyumba za serikali, kuingia ofiaini nk.

Nakumbuka Kuna RC Mwanza aligoma kukaa nyumba ya serikali akawa anaishi Malaika beach Resort akisubiri ukarabati kumbe anakwepa miundombinu ya mtangulizi wake
Chama Cha Mazezeta wanarithishana TU, hata ukiwa mwema kiasi gani, mwisho wa siku utajikuta wewe ni shetani mwovu kabisa 👹👺☠️
 
Sisi na wazungu tumetofautiana pakubwa mno.
Sisi chuki/hasadi hatutaki mwenzetu aendelee unategemea nini Kama Roho mbaya ndo result ya uchawi!

Mtu akikalia kitu anakwambia vijana wanasoma ngoja nkafunge yaani anabaki kukalia kitu yeye tu ukionekana umemzidi elimu na umekaa kimapinduzi anakimbilia kukufanya madudu.

Relax utakuja kumbana nayo.
Sikataia kama yapo.

Ila cha muhimu ni maombi ya dua na sala.
 
Nakumbuka nikiwa JKT miaka ya giza nilikuwa karani wa Mr RSM, aisee yule mzee alikuwa akisafiri kiti chake nakaa mimi tu. Akikaa yule dingi mwenzie aliyemkaimisha madaraka siku hiyo kikosi kizima ni full taflani utasema mzee anakufa muda huohuo.
Sasa kwa mfano wapo wazungu ambao madhali ni mabosi basi hawapendi kabisa mtu kukalia kiti chake cha ofisini.

Na wengine watakuambia usiketi hicho kiti ni cha meneja bwana Steve.

Lakini fikra hazendi kwenye shirki ila utasema hayo ni majigambo au kutaka kutambulika kwa walo chini yako.

Hivyo suala la kiti si lazima lihusiane na shirki.
 
no way out...dawa ya moto ni moto....
FB_IMG_16274709481680619.jpg
 
Nilipohamia mkoa mwingine nilisumbuliwa sana na mgongo,kuna siku ghafla tuu nikatoa kile kiti nikachukua cha zamani tuu pale reception daaah huwezi amini na mgongo ulipona. Kuja kupata stori baadae naambiwa mwenzako mbuzi na kuku waliishia hapo mlangoni ili asitolewe.
 
Nilipohamia mkoa mwingine nilisumbuliwa sana na mgongo,kuna siku ghafla tuu nikatoa kile kiti nikachukua cha zamani tuu pale reception daaah huwezi amini na mgongo ulipona. Kuja kupata stori baadae naambiwa mwenzako mbuzi na kuku waliishia hapo mlangoni ili asitolewe.
Umefupisha mno
 
Back
Top Bottom