Jesuitdon
JF-Expert Member
- Dec 18, 2018
- 3,153
- 2,673
Ss unacheo gn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ss unacheo gn
Kj gn
824Kj gn
Aa. Kanembwa moja
Nishasahau vyeo vyingi kwl
Na hiki ndicho wa_Africa wengi tunashindwa kufanya.Ila uchawi wao ni mipango bora ya kusaidiana wao kwa wao kwa masuala kama food bank, charity shops, na asasi nyingi tu ambazo hupewa fedha na serikali zao kuwasaidia wale walo maskini.
Freemason Illuminati N africa kumbeNa hiki ndicho wa_Africa wengi tunashindwa kufanya.
Acha banaNimestaafu ndugu zangu
Nimekuchek dm piaNimestaafu ndugu zangu
Chumvi ya Mabonge. hakutakuwa na kuzaa mapooza tena cc Mshana jrKuna watu wanapokea ofisi binafsi au ya umma kutoka mikononi mwa watu waliokuwa wanaamini ushirikina na ambao walikuwa wanapeleka wachawi na waaguzi kufanyia ibada zao ofisini. Ofisi kama hizi kiimani inaaminika hata Mwenye ofisi akiondok aidha kwa kuamishwa, kustaafu au kufa mizimu ile ubaki ofisini.
Kwa wataalam wa mambo haya tusaidieni, Ni njia gani utumika kuosafisha ofisi na kuondoa imani hizi za kishirikina ili iwe sehemu sahihi kuishi? Kumbuka kwa mazingira ya Utumishi wa Umma ujengi ofisi yako wala huna mamlaka yakubadili chumba Cha ofisi utakaa kwenye ofisi ya mtangulizi wako. Nini kifanyike? Naamini wapo wengi wamekwama kufanya kazi kwa amani baada yakukuta uchafu wakutosha kwenye ofisi mpya.
Hasa tutirieke hapa ili wakurugenzi ,wakuu wa Mikoa, ikulu na maeneo mengine watu watumie mbinu mtakazotoa kuhama hotelini n kwenda kwenye nyumba za serikali, kuingia ofiaini nk.
Nakumbuka Kuna RC Mwanza aligoma kukaa nyumba ya serikali akawa anaishi Malaika beach Resort akisubiri ukarabati kumbe anakwepa miundombinu ya mtangulizi wake
Iko hivyo hivyoUmefupisha mno
😂😂😂 hizi mechanismUwe unaingia na konyagi
Huamini?Acha bana
Chumvi ya Mabonge. hakutakuwa na kuzaa mapooza tena cc Mshana jr
Nime ku DMHuamini?