Matunguli au uchawi uliocha ofisini na mtangulizi wako unautoaje kuitakasa ofisi?

Matunguli au uchawi uliocha ofisini na mtangulizi wako unautoaje kuitakasa ofisi?

Kuna watu wanapokea ofisi binafsi au ya umma kutoka mikononi mwa watu waliokuwa wanaamini ushirikina na ambao walikuwa wanapeleka wachawi na waaguzi kufanyia ibada zao ofisini. Ofisi kama hizi kiimani inaaminika hata Mwenye ofisi akiondok aidha kwa kuamishwa, kustaafu au kufa mizimu ile ubaki ofisini.

Kwa wataalam wa mambo haya tusaidieni, Ni njia gani utumika kuosafisha ofisi na kuondoa imani hizi za kishirikina ili iwe sehemu sahihi kuishi? Kumbuka kwa mazingira ya Utumishi wa Umma ujengi ofisi yako wala huna mamlaka yakubadili chumba Cha ofisi utakaa kwenye ofisi ya mtangulizi wako. Nini kifanyike? Naamini wapo wengi wamekwama kufanya kazi kwa amani baada yakukuta uchafu wakutosha kwenye ofisi mpya.

Hasa tutirieke hapa ili wakurugenzi ,wakuu wa Mikoa, ikulu na maeneo mengine watu watumie mbinu mtakazotoa kuhama hotelini n kwenda kwenye nyumba za serikali, kuingia ofiaini nk.

Nakumbuka Kuna RC Mwanza aligoma kukaa nyumba ya serikali akawa anaishi Malaika beach Resort akisubiri ukarabati kumbe anakwepa miundombinu ya mtangulizi wake
Wewe umepangiwa u-DED wapi?
 
Wafahamu kama mimi na kukaa kwangu kote nje ya nchi katika nchi mbalimbali sijaweza kusikia uchawi upo.

Ila kwa waafrika hio kitu ipo na wao waiendeleza kule na wengine wana maisha duni.

Utasikia mtu kazuka Gambia, Nigeria au Mali kwenda kuchukua "Booster".

Nilikuwa nawaza sana na nikakumbuka ule msemo usemao "uchawi hauvuki bahari",

Wazungu wapiga kazi pesa yaingia na kila mtu anaridhika na alicho nacho.

Lakini, masikini wapo, walo na matatizo mbalimbali wapo na wenye shida zingine wapo.

Ila uchawi wao ni mipango bora ya kusaidiana wao kwa wao kwa masuala kama food bank, charity shops, na asasi nyingi tu ambazo hupewa fedha na serikali zao kuwasaidia wale walo maskini.
Uchawi upo kwa wazungu, nakumbuka nilisha wahi ona wazungu wakizika mbuzi mzima.
Pia kama ushawahi hii series channel e, utagundua kuna wazungu wachawi.
 
Mimi si muumini wa masuala ya shirki ila hutumia utaratibu ambao nimejiwekea na nipo kazini hapa Dodoma mwaka wa tatu sasa tokea nirudi Tanzania kutoka huko duniani.😉

Baada ya kuapishwa kuna kale kawiki ka kujiandaa.

Hivyo hiyo ni fursa ya kutuma wajumbe wakaandae ofisi yako mpya.

Wajumbe wataandaa masuala kama usafi na kadhalika.

Halafu, meza, kabati (filing cabinet) na kiti cha kukalia waweza kusema utaingia navyo vipya.

Computer system huwezi kuibadili ila waweza kubadilisha Monitor na Keyboard na mouse.

Bila kusahau kitasa kuweka kipya.

Halafu watafuta ubani na shehe wa kukufanyia dua kwa mimi na familia. kisha namwachia Mungu.

Dunia imebadilika sana watakiwa kuwa makini sana.
Lack of wisdom.
 
Umepona?? Karibu tena jukwaani..matunguli ya boss, unamuita MWANDULAMI...Ukiwaita kina Gwajima hakuna kitu.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
nasikia miaka ya zamani hali ilikuwa ya hatari sana kwa wazee waliokuwa wanafanya kazi bandari.

ilikuwa sio rahisi kukalia kitu ambacho sio chako. mabosi walikuwa wanaogopana sana.kila boss alijihami kishirikina.
 
Kuna watu wanapokea ofisi binafsi au ya umma kutoka mikononi mwa watu waliokuwa wanaamini ushirikina na ambao walikuwa wanapeleka wachawi na waaguzi kufanyia ibada zao ofisini. Ofisi kama hizi kiimani inaaminika hata Mwenye ofisi akiondok aidha kwa kuamishwa, kustaafu au kufa mizimu ile ubaki ofisini.

Kwa wataalam wa mambo haya tusaidieni, Ni njia gani utumika kuosafisha ofisi na kuondoa imani hizi za kishirikina ili iwe sehemu sahihi kuishi? Kumbuka kwa mazingira ya Utumishi wa Umma ujengi ofisi yako wala huna mamlaka yakubadili chumba Cha ofisi utakaa kwenye ofisi ya mtangulizi wako. Nini kifanyike? Naamini wapo wengi wamekwama kufanya kazi kwa amani baada yakukuta uchafu wakutosha kwenye ofisi mpya.

Hasa tutirieke hapa ili wakurugenzi ,wakuu wa Mikoa, ikulu na maeneo mengine watu watumie mbinu mtakazotoa kuhama hotelini n kwenda kwenye nyumba za serikali, kuingia ofiaini nk.

Nakumbuka Kuna RC Mwanza aligoma kukaa nyumba ya serikali akawa anaishi Malaika beach Resort akisubiri ukarabati kumbe anakwepa miundombinu ya mtangulizi wake

Ikiwa ni mkristo wa kweli unaweza kutumia Silaha za Mungu Kwa imani kama "Damu ya Yesu Kristo inenayo mema, maana imeandikwa hivyo kwenye Biblia Takatifu kwamba "Wakamshinda Kwa Damu ya Mwana Kondoo (Yesu Kristo) na Neno la ushuhuda katika UFUNUO 12:9-11.

Hakuna uchawi wala uganga kwa mtu anayeamini nguvu ya Damu ya Mwana Kondoo au Yesu Kristo yenye uwezo wa kutakasa na kuharibu kazi zote za shetani na wasaidizi katika jina kuu la Yesu Kristo. Amen !

Mwisho sikiliza wimbo huu hapa !
 

Attachments

  • Kuabudu-Damu Ya Yesu Inanena Mema ( 360 X 640 ).mp4
    21.5 MB
Bosi wangu alikuwa akimwaga madawa chumba cha cha pili ofisi yetu ilikuwa haikaliki dawa kama amemwaga kinyesi. Sasa hivi katolewa namwonea huruma anaekuja.
Office gan



Naje anamwaga dawa mkiwepo?
 
Inabidi ufagie ofisi yote upate mchanga kidogo ,huo unatosha katika shughuri za kuondoa uchawi au zindiko lililowekwa ofisini ,pia wanahitajika jogoo wawili wekundu,ubani maka na ubani mashitaka,unga wa salfa kazi yako inakuwa imeisha.Kama kuna vitu vimewekwa vinatolewa live harafu vitachomwa moto.Habari inakuwa imekwisha.
 
Waafrika tuna changamoto sana za kuhusudu ushirikina na uchawi. Ndiyo maana wengi wanashindwa kupiga hatua kimaendeleo.
 
Unaweza pata ajira halafu ikaenda kukuharibia maisha au kukupoteza kabisa . Tafuta mtaalamu wa hayo mambo akusaidie kuweka mambo sawa .
 
Nakumbuka nikiwa JKT miaka ya giza nilikuwa karani wa Mr RSM, aisee yule mzee alikuwa akisafiri kiti chake nakaa mimi tu. Akikaa yule dingi mwenzie aliyemkaimisha madaraka siku hiyo kikosi kizima ni full taflani utasema mzee anakufa muda huohuo.
[emoji23]huko congo kuna kipindi mjeda fulani alipewa ofisi akaenda kumwaga damu ya kuku kama sio kondoo ofisi nzima huku akidai mtangulizi wake hakuwa mtu mzuri so ana clear hali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uchawi upo kwa wazungu, nakumbuka nilisha wahi ona wazungu wakizika mbuzi mzima.
Pia kama ushawahi hii series channel e, utagundua kuna wazungu wachawi.
Kuna mwanamke hapa Tanzania alinunua mdori myumbani basi magonjwa yakaanza kumuandama. Kanisani wakamshauri auchome moto ule mdoli na alipofanya hivo alipona. Ilidaiwa kuna mzungu huko ulaya aliweka mashetani kwenye mdoli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu wanapokea ofisi binafsi au ya umma kutoka mikononi mwa watu waliokuwa wanaamini ushirikina na ambao walikuwa wanapeleka wachawi na waaguzi kufanyia ibada zao ofisini. Ofisi kama hizi kiimani inaaminika hata Mwenye ofisi akiondok aidha kwa kuamishwa, kustaafu au kufa mizimu ile ubaki ofisini.

Kwa wataalam wa mambo haya tusaidieni, Ni njia gani utumika kuosafisha ofisi na kuondoa imani hizi za kishirikina ili iwe sehemu sahihi kuishi? Kumbuka kwa mazingira ya Utumishi wa Umma ujengi ofisi yako wala huna mamlaka yakubadili chumba Cha ofisi utakaa kwenye ofisi ya mtangulizi wako. Nini kifanyike? Naamini wapo wengi wamekwama kufanya kazi kwa amani baada yakukuta uchafu wakutosha kwenye ofisi mpya.

Hasa tutirieke hapa ili wakurugenzi ,wakuu wa Mikoa, ikulu na maeneo mengine watu watumie mbinu mtakazotoa kuhama hotelini n kwenda kwenye nyumba za serikali, kuingia ofiaini nk.

Nakumbuka Kuna RC Mwanza aligoma kukaa nyumba ya serikali akawa anaishi Malaika beach Resort akisubiri ukarabati kumbe anakwepa miundombinu ya mtangulizi wake
Wao wenyewe wana matunguli yao.
Huwezi kuwa mwana ccm bila kuwa mchawi
 
Mimi si muumini wa masuala ya shirki ila hutumia utaratibu ambao nimejiwekea na nipo kazini hapa Dodoma mwaka wa tatu sasa tokea nirudi Tanzania kutoka huko duniani.😉

Baada ya kuapishwa kuna kale kawiki ka kujiandaa.

Hivyo hiyo ni fursa ya kutuma wajumbe wakaandae ofisi yako mpya.

Wajumbe wataandaa masuala kama usafi na kadhalika.

Halafu, meza, kabati (filing cabinet) na kiti cha kukalia waweza kusema utaingia navyo vipya.

Computer system huwezi kuibadili ila waweza kubadilisha Monitor na Keyboard na mouse.

Bila kusahau kitasa kuweka kipya.

Halafu watafuta ubani na shehe wa kukufanyia dua kwa mimi na familia. kisha namwachia Mungu.

Dunia imebadilika sana watakiwa kuwa makini sana.
Mkuu unakula keki ya Taifa, shikilia hspo hapo wenzako tunataabika hatari, ningekuwa na uwezo ningekuomba connectiom sema hata nkikuomba utasema nakuchunguza
 
Mkuu unakula keki ya Taifa, shikilia hspo hapo wenzako tunataabika hatari, ningekuwa na uwezo ningekuomba connectiom sema hata nkikuomba utasema nakuchunguza
Hapana mkuu.

Mimi nafanya shughuli zangu kama kwa kujishikiza yaani Ad-Hoc.

Natoa ushauri elekezi.

Kwa sasa napata shida kushauri jinsi ya kuwaelewa wazaramo wataka nini.

Pembeni nina vibiashara vyangu vya hapa na pale.

Moja ya kibiashara kangu ninapo pale Tandale kwa Mtogole nakaanga viazi na vipapatio vya kuku, si haba.

Mimi nimepita katika shida mkuu, mtoto wa mkulima ila nikazamia Ulaya miaka hiyooo!, in 90s.

Dah siwezi kumalizia, ila nchi hii ina wenyewe ambao ndo haohao walomkataa Magufuli ambae alitaka sote tufaidi keki ya taifa.

Ila shule nimeenda vya kutosha na niko makini sana na ninachokiandika hapa.
 
Hapana mkuu.

Mimi nafanya shughuli zangu kama kwa kujishikiza yaani Ad-Hoc.

Natoa ushauri elekezi.

Kwa sasa napata shida kushauri jinsi ya kuwaelewa wazaramo wataka nini.

Pembeni nina vibiashara vyangu vya hapa na pale.

Moja ya kibiashara kangu ninapo pale Tandale kwa Mtogole nakaanga viazi na vipapatio vya kuku, si haba.

Mimi nimepita katika shida mkuu, mtoto wa mkulima ila nikazamia Ulaya miaka hiyooo!, in 90s.

Dah siwezi kumalizia, ila nchi hii ina wenyewe ambao ndo haohao walomkataa Magufuli ambae alitaka sote tufaidi keki ya taifa.

Ila shule nimeenda vya kutosha na niko makini sana na ninachokiandika hapa.
Basi shikilia sana ulichonacho na chochote kile kinachokupa kipato sababu mtaani hali inatisha hata kazi za kujitolea nazo zimetoweka kama mvua jangwank
 
Hahaha Beatrice walitaka kukuua na matunguri sasa umerudi maana nusura ufe
 
Back
Top Bottom