Elections 2010 Matusi au 'tuhuma' katika kampeni?

Superman sasa napata picha jinsi mahakam zetu zinavyotumiwa vibaya ili kuminya uhuru wa kutoa maoni. CCM wakion hoja fulani ni hot kwao wanampeleka mtu godowan iitwayo mahakama halafu wanampitisha kugombea ubunge kana kwamba kitendo cha kutuhumiwa na kugfikishwa kahakamani sio ukosefu wa maadili.
 
Sidhani kama kuna namna ya kueleza ubovu wa ccm bila kusema hayo wanayoyaita "matusi". Ukisema utaondoa ufisadi ni lazima usema nani fisadi katika chama unachotaka kukitoa madarakani. Kama ccm wanona ni matusi tayari hiyo inakuwa kesi ya jinai, waende polisi ama mahakamani. Dr Slaa alipotangza list of shame, walioona ni matusi wakasema tunakwenda mahakamani, Dr Slaa akawaambia tena kimbieni haraka, hakuna hata mmoa aliyethubutu. CCM wawe wavumilivu tu,hayo "matusi" tunayasema na tutayasema sana.
 
Wanagwaya gwaya,kwanza wanahahujumu chadema,mkutano wake wa mwanzo wa kuomba udhamini wa Dr Slaa waliuhujumu hawakuonyesha umati wa wapenzi wa chadema,leo asubuhi kwenye Ufunguzi wa Kampeni jimbo la ubungo wameonyesha vichwa tuu vya Dr Slaa,Mnyika na vichwa vingine vya watu wawiwili watatu karibu na mabati mabovu,kuonyesha kwamba chadema hawapati wapenzi kwenye mikutano yao,yaani nadhani Chadema kwenye kampeni zao waeendelee kuwashitaki TBC kwa kuwahujumu kwa kutokuonyesha wapenzi wao wanaokwenda kuwasikiliza,ovyo kabisa tangu hapo nimetoa kabisa heshima yangu kwa TIDO ni pandikizi la hovyo kabisa,achane wanachii wapembue wenyewe,bwana sio kuvunja haki za msingi za wananchi za kuhabarishwa kwa mizania sawa,ole wenu kibunga kinakuja
 
Muungwana huna sababu ya kutokujibu hoja! Mkapa na Kikwete wajitetee, wajisafisha majina yao. Lakini Mkapa anadaiwa bado ripoti ya mali zake baada ya kuwa Raisi, anaogopa

Hivi na wewe bado ni mwanachama wa CCM! Sikio la kufa mwanangu......
ccm imeshapoteza dira, hakuna jipya litakaloletwa! Hii nchi inasubiri chama na serikali mpya' if at all there is any hope of improvement!
 
Kama kweli imefikia katika hali hii, sioni kama watu wataendelea kukishikilia hiki kivuli cha uhuru, amani na haki. Kweli inauma.
Nisiseme mengi
 
Me nashangaa eti Slaa anatumia lugha isiyo ya kistaarabu. Amesema atafanya hiki na kile na hya ni mabadiliko, ukitaka kufanya mabadiliko lazima uoneshe kwanini kilichopo ni kibaya ni haya ndo afanyayo Slaa nashangaa kusikia eti si mstaarabu. Mfano, anaposema atarekeisha mfumo wa elimu lazima aoneshe ubovu wa mfumo wa elimu uliopo. Na asemapo kuwa atanzisha serikali nzuri na utawala mzuri lazima aoneshe ubaya wa iliyopo. Sasa lugha gani isiyo ya kistaarabu? It's just calling a spade a spade and not a big spoon!
 

EPA sio tusi:A S 8:
 
These are the behaviours potrayed or seen within Tanzania opposition side parties.A complete antithesis of multiparty system:

That this type of system teaches:
a)How to deal with a small amount of information (sometimes private lives of people) in twisting people's minds at the expense of their ignorance or inability to analyse things.(Though many Tanzanians have seen the facts since the Local Government Elections earlier this year).

b)Being opportunists for a nation in transition.

c)More rumours than facts.

d)Hatrade/personal conflicts and how to spill it over.

e)A nest for people who run from the rulling party sometimes at crucial ethical facts.

It's only when we stop these types of politics will multipartism work in Tanzania and other parts of Africa.Until then CCM stays.
 

Mazee ulipitia pale Mlimani miaka ya karibuni nini?
 

Mheshimiwa andika lugha rahisi. Wengi wetu uelewa wetu mzuri ni kiswahili, maelezo mafupi sahihi na wazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…