Si sio milima tutakutanaTangu Simba achapike bila huruma mnamo tarehe 5 November 2023, kumekuwa na kuheshiniana miongoni mwa watumiaji wa mitandao ya kijamii. Yale matusi yasiyo na sababu pamoja na posts za kukebehiana vimepungua sana.
Nadhani hali hii inapaswa kuendelea na kuzoeleka. Ni kitu kizuri sana
Bado hamjamaliza kuchonga mabango mengine kufurahia kuifunga timu kubwa kuliko nyie???Tangu Simba achapike bila huruma mnamo tarehe 5 November 2023, kumekuwa na kuheshiniana miongoni mwa watumiaji wa mitandao ya kijamii. Yale matusi yasiyo na sababu pamoja na posts za kukebehiana vimepungua sana.
Nadhani hali hii inapaswa kuendelea na kuzoeleka. Ni kitu kizuri sana
Naunga mkono hoja [emoji2772][emoji2772][emoji2772][emoji2772][emoji2772]Tangu Simba achapike bila huruma mnamo tarehe 5 November 2023, kumekuwa na kuheshiniana miongoni mwa watumiaji wa mitandao ya kijamii. Yale matusi yasiyo na sababu pamoja na posts za kukebehiana vimepungua sana.
Nadhani hali hii inapaswa kuendelea na kuzoeleka. Ni kitu kizuri sana
Timu kubwa kwenye nini?Bado hamjamaliza kuchonga mabango mengine kufurahia kuifunga timu kubwa kuliko nyie???
Sawa nduguSi sio milima tutakutana
Walau matusi yamepungua mjiniBado hamjamaliza kuchonga mabango mengine kufurahia kuifunga timu kubwa kuliko nyie???
Kweli kabisaDah! Ila Mashabiki wengi wa hiyo timu wana midomo michafu mpaka basi. Ni wachache pekee ndiyo waungwana.
AhsanteNaunga mkono hoja [emoji2772][emoji2772][emoji2772][emoji2772][emoji2772]
AhaaaHali kama hii ilitokea pia mei 2012
DahKwakweli amani ni kubwa sana kuipoteza. Kipigo kikubwa kinapaswa kuwa endelevu kulinda hii amani.
Halafu na wewe ukakoment kabisa.Yani kabisaaa wewe ndiyo baba mwenye familia yake kabisa yanii tena una watoto wapo chuo ukawaza kabisa kabisa uandike ulichoandika,
Huu mtaa hakuna wanaume kweli, kwanini wasivunje hilo bango.Halafu na wewe ukakoment kabisa.