Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Swahiba na mie nitafutie Avatar ya π hebu nipate kuiwekaga. ππUle mkando umewafanya mpaka leo wasimjue kocha wao nani π
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swahiba na mie nitafutie Avatar ya π hebu nipate kuiwekaga. ππUle mkando umewafanya mpaka leo wasimjue kocha wao nani π
Swahiba na mie nitafutie Avatar ya π hebu nipate kuiwekaga. ππ
Eeeeewaaaaa. πππView attachment 2821340
Swahiba hii inakufaa kabisa ππ
Yaan mpaka waseme ππEeeeewaaaaa. πππ
Tujikumbushe kidogo swahiba πππEeeeewaaaaa. πππ
Hahahaaaa! Nimecheka sana Swahiba.Tujikumbushe kidogo swahiba πππ
πππ mpaka wasemeHahahaaaa! Nimecheka sana Swahiba.
Manula alitamani ardhi ipasuke. ππ
π
Tunaweza kusema ngebe kwishaaaπ€ͺTangu Simba achapike bila huruma mnamo tarehe 5 November 2023, kumekuwa na kuheshimiana miongoni mwa watumiaji wa mitandao ya kijamii. Yale matusi yasiyo na sababu pamoja na posts za kukebehiana vimepungua sana.
Nadhani hali hii inapaswa kuendelea na kuzoeleka. Ni kitu kizuri sana.
Hii imeenda Swahiba. πππππ mpaka waseme
πππ
HakikaTunaweza kusema ngebe kwishaaa[emoji2957]
Kwisha habari yaoKuna raia siku hizi siwaoni kabisa humu JF, wamepotea mithili ya mdudu Dinosaur
Nafikiri mashabiki wa Simba hawaelewi maana ya mabango ya Yanga. Yanga ilizifunga timu tatu magoli matano kabla ya Nov 5. Mashabiki wa Simba wakadai hizo ni timu ndogo.1. Mpk kutengenezewa mabango ni ishara tosha ni timu kubwa.
2. 5 zinazokumbukwa ni za Simba tu.
Simba ni timu kubwa mpk meandaa mabango.
Kwani kuna timu ngapi meifunga 5?
Jipige picha na kujichukua video kwenye bango la Yanga linaonesha Yanga 5 - Simba 1.
Kama Simba meifunga na mkaitengenezea mabango, siku mkiifunga Al Ahly sijui itakuwaje siku hiyo
Umenichekesha sana...Hata mkianza matusi bado haiwezi kuwa kwa kiwanga cha mwanzo
KweliNafikiri mashabiki wa Simba hawaelewi maana ya mabango ya Yanga. Yanga ilizifunga timu tatu magoli matano kabla ya Nov 5. Mashabiki wa Simba wakadai hizo ni timu ndogo.
Nabango ya Yanga ni kejeli kwa Simba kwamba wao vile vile wamefungwa goli tano hivyo nao ni timu ndogo! Kudhihirisha hilo wakafukuza na kocha kabisa na kusingizia kuna baadhi ya wachezaji walihongwa! Typical reaction ya timu kama Coastal au Azam.
Simba fans are suffering delusion of grandeur. Waonewe huruma.