Matusi na kejeli mitandaoni vimepungua tangu tarehe 5 Novemba

Matusi na kejeli mitandaoni vimepungua tangu tarehe 5 Novemba

Swahiba na mie nitafutie Avatar ya πŸ– hebu nipate kuiwekaga. πŸ˜‚πŸ˜‚
20231118_175107.jpg

Swahiba hii inakufaa kabisa πŸ˜‚πŸ–
 
Tangu Simba achapike bila huruma mnamo tarehe 5 November 2023, kumekuwa na kuheshimiana miongoni mwa watumiaji wa mitandao ya kijamii. Yale matusi yasiyo na sababu pamoja na posts za kukebehiana vimepungua sana.

Nadhani hali hii inapaswa kuendelea na kuzoeleka. Ni kitu kizuri sana.
Tunaweza kusema ngebe kwishaaaπŸ€ͺ
 
1. Mpk kutengenezewa mabango ni ishara tosha ni timu kubwa.
2. 5 zinazokumbukwa ni za Simba tu.
Simba ni timu kubwa mpk meandaa mabango.
Kwani kuna timu ngapi meifunga 5?
Jipige picha na kujichukua video kwenye bango la Yanga linaonesha Yanga 5 - Simba 1.
Kama Simba meifunga na mkaitengenezea mabango, siku mkiifunga Al Ahly sijui itakuwaje siku hiyo
Nafikiri mashabiki wa Simba hawaelewi maana ya mabango ya Yanga. Yanga ilizifunga timu tatu magoli matano kabla ya Nov 5. Mashabiki wa Simba wakadai hizo ni timu ndogo.
Nabango ya Yanga ni kejeli kwa Simba kwamba wao vile vile wamefungwa goli tano hivyo nao ni timu ndogo! Kudhihirisha hilo wakafukuza na kocha kabisa na kusingizia kuna baadhi ya wachezaji walihongwa! Typical reaction ya timu kama Coastal au Azam.
Simba fans are suffering delusion of grandeur. Waonewe huruma.
 
Nafikiri mashabiki wa Simba hawaelewi maana ya mabango ya Yanga. Yanga ilizifunga timu tatu magoli matano kabla ya Nov 5. Mashabiki wa Simba wakadai hizo ni timu ndogo.
Nabango ya Yanga ni kejeli kwa Simba kwamba wao vile vile wamefungwa goli tano hivyo nao ni timu ndogo! Kudhihirisha hilo wakafukuza na kocha kabisa na kusingizia kuna baadhi ya wachezaji walihongwa! Typical reaction ya timu kama Coastal au Azam.
Simba fans are suffering delusion of grandeur. Waonewe huruma.
Kweli
 
Back
Top Bottom