Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Haswaaa. Wakija kusahau wameshazeeka. ππππ ile adabu tuliowatia awatokaa wasahau
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haswaaa. Wakija kusahau wameshazeeka. ππππ ile adabu tuliowatia awatokaa wasahau
Ule mkando umewafanya mpaka leo wasimjue kocha wao nani πYees! Ndo huo huo Swahiba. ππ
Hapana chezea tano Swahiba. ππUle mkando umewafanya mpaka leo wasimjue kocha wao nani π
Na hili la mabango yenu limekaaje!!!!Tangu Simba achapike bila huruma mnamo tarehe 5 November 2023, kumekuwa na kuheshimiana miongoni mwa watumiaji wa mitandao ya kijamii. Yale matusi yasiyo na sababu pamoja na posts za kukebehiana vimepungua sana.
Nadhani hali hii inapaswa kuendelea na kuzoeleka. Ni kitu kizuri sana.
Mada hapa ni matusi kupunguaNa hili la mabango yenu limekaaje!!!!
Tano ni nyingiHapana chezea tano Swahiba. [emoji3][emoji870]
πππHapana chezea tano Swahiba. ππ
Nimecheka sana Swahiba. Lolπππ
OhooohKuna kitu tunasikilizia just wait
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Hawa tuwacheke hadi waombe msamaha swahiba πNimecheka sana Swahiba. Lol
Tena hao ndo washupaza shingo wazuri. π
Kabisa Kabisa Swahiba mpaka waombe poo.Hawa tuwacheke hadi waombe msamaha swahiba π
Na zimebakia kero mbili Swahiba.Hawa tuwacheke hadi waombe msamaha swahiba π
ππBado ASEC apige kwenye mshono.
Kikubwa ni mitusi kupunguaMalimbukeni on one and two....
Hata mkianza matusi bado haiwezi kuwa kwa kiwanga cha mwanzoMalimbukeni Fc
πππNa zimebakia kero mbili Swahiba.
Hivyo wajiandae kimwili na kiakili pia. πππ