Matusi na kejeli mitandaoni vimepungua tangu tarehe 5 Novemba

Matusi na kejeli mitandaoni vimepungua tangu tarehe 5 Novemba

Tangu Simba achapike bila huruma mnamo tarehe 5 November 2023, kumekuwa na kuheshimiana miongoni mwa watumiaji wa mitandao ya kijamii. Yale matusi yasiyo na sababu pamoja na posts za kukebehiana vimepungua sana.

Nadhani hali hii inapaswa kuendelea na kuzoeleka. Ni kitu kizuri sana.
Na hili la mabango yenu limekaaje!!!!
 

Attachments

  • Screenshot_20231121-080523_Instagram.jpg
    Screenshot_20231121-080523_Instagram.jpg
    105.7 KB · Views: 3
Back
Top Bottom