Ile tim iliocheza movie ya utani aiseee walituliaLile kundi la tiny white na wenzie , ndio best comedian bongo
Hahahayani ukiona hadi mau fundi anaweza kukuchekesha basi jua unaugonjwa wa kucheka hata msibani unaweza cheka wewe
Kinyambe alishika moto enzi za uhai wakeMimi marehemu kinyambe,joti na mpoki enzi zake bado hela haijawatembelea walikuwa si mchezo
Huyu mzee alikuw overrated sijawahi kucheka kiukweli nilikuwa nashangaa watu wanaosema bingwa wa kuchekeshaMimi pia sikuwahi kuona kuchekesha kwake huyu babu. RIP
Haha may belabda wazaramo walicheka
Hata humu uzi wake upo mi naishiaga kushangaa tuHuyu mzee alikuw overrated sijawahi kucheka kiukweli nilikuwa nashangaa watu wanaosema bingwa wa kuchekesha
Hata mimi nashangaaEti kuna watu walikua wanachekeshwa na king majuto.
Tanzania bana.
Ingependeza kama huyo bint angevaa jezi ya bendera ya taifa(Tz), af mwisho wa siku ilibd mpiga pushap ndo amchukueJamaa kiwango chake cha uchekeshaji anatakiwa apate makataba ata Hollywood.
Bongo apamfai uwezo wake nikama Chris Tucker .
Vipaji vipo Ila watu awataki kuwekeza Kwa uyu dogo . Tazama iki kipande
Yan kama joti amewahi kukuchekesha majuto hakuchekesha alitupa burudani asilimia kubwa sana ya WatanzaniaMimi pia sikuwahi kuona kuchekesha kwake huyu babu. RIP
Huyu sumaku ndo comedian pekee anayenifanyaga nicheke afu kidogo na yule mkongo ila hawa akina majuto and the rest sijawai chekaSijaona cha kuchekesha hapo, binafsi mtu pekee anaeweza kuweka tabasamu langu usoni kwa sasa ni:
1. Joti
2. Sumaku
3. Brother K
Wengine wote waliobaki michosho tu, waende shule za msingi ndio kuna wa kuchekea wanayoyafanya!
Jamaa kiwango chake cha uchekeshaji anatakiwa apate makataba ata Hollywood.
Bongo apamfai uwezo wake nikama Chris Tucker .
Vipaji vipo Ila watu awataki kuwekeza Kwa uyu dogo . Tazama iki kipande
Mimi Joti,Sumaku na Mkwere japokuwa Mkwere yeye huwa hachekeshi sana ila akiigiza kama kufikisha ujumbe kwa jamii huwa namuelewa sana.Joti na brother K ndo best
KUNA PICHA MOJA INAZUNGUKA MITANDAONI YA BONGO MOVIE, MDADA YUKO KWENYE JENEZA KAMA MFU LAKINI KATOA MACHO KAMA KAMFUMANIA MUMEWEBongo maigizo bado sana kuanzia dialogue mpaka uigizaji wenyewe hauko vizuri kabisa yani
Hebu angalia hapa halafu uweze kulinganisha na hicho kitu alichopost mtoa mada, jaribu kumfuatilia zaidi huyu bwana Youtube naamini kuna cha pekee utakiona kwake!
[/QUOTE
best in town JOTI
Usipocheka hizi wewe utakuwa na matatizo ya akilihamna kitu hapo!.
Tandahimba tena? [emoji1] [emoji1]Mbona hamna kitu hapo ndugu? au unamaanisha Hollywood ya Tandahimba?