Certified Hater
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 1,760
- 3,733
Khantwe Yale mashati ya brother K kweli hayakusisimuiMimi hapo Joti tu, brother K kwangu wala hana maajabu nampenda na yule dada kiziwi
Sumaku hata Mimi namkubali sanaSumaku anajua sana ..
Itakuwa Mengi anawakatazaJamaa hawarushagi clip mtandaoni sijui kwanini!
WalaaaKhantwe Yale mashati ya brother K kweli hayakusisimui
Brother K fala sanaaaJoti na brother K hata mimi nakuunga mkono
Mimi pia Brother K huwa hanichekeshi, Majuto amenichekesha vya kutosha sina Deni nayeKila mtu ananyege zake za kucheka.
Binafsi bro K sijawahi kucheka zaidi ya kukasirika akianza kuongea.
Mzee majuto na Kinyambe (Rip) ndo walikuwa wananinyegesha
Majuto mwisho wa reli alikuwa .. Brother K labda kama hufatilii futuhi ila naee ni balaaaa yanii...!Mimi pia Brother K huwa hanichekeshi, Majuto amenichekesha vya kutosha sina Deni naye
Aah mkuu kwa level unayomuweka hapanaJamaa kiwango chake cha uchekeshaji anatakiwa apate makataba ata Hollywood.
Bongo apamfai uwezo wake nikama Chris Tucker .
Vipaji vipo Ila watu awataki kuwekeza Kwa uyu dogo . Tazama iki kipande